1. RIP kwa wote waliotangulia, miongoni mwa watu maarufu na wenye ushawishi / mvuto
2. Na huko kwenye upinzani
4. Ndio maana MAGUFULI akajijengea umaarufu – na tutaendelea hivyo hadi aje MAGUFULI mwengine ndani ya CCM
- Mrema alihamia upinzani kwa shinikizo la Mwl Nyerere
- Sumaye alihamia upinzani kutafuta umaarufu alioukuwa akiendelea kuutamani
- Lowasa alienda kwa kusukumwa na tamaa yake ya Urais
- Kingunge alihamia huko kufukuzia umaarufu wa uzeeni - alikuwa wapi huko nyuma?
- Membe aliwakimbia wana CCM wenzie akijua hakubaliki - hadi kuwekewa vikao na CCM
- Nyalandu alikimbia baada ya kuona mwelekeo unataka kumtafuna kwa madudu yake serikalini.
2. Na huko kwenye upinzani
- Lipumba kayumba yumba hadi kuyumbisha Chama
- Walid Kabouru wapi – CCM
- Hata Masumbuko Lamwai?
4. Ndio maana MAGUFULI akajijengea umaarufu – na tutaendelea hivyo hadi aje MAGUFULI mwengine ndani ya CCM