Mtu Asiyejulikana
JF-Expert Member
- Sep 11, 2017
- 2,254
- 5,161
Walikuwa wanamwambia "Mzee hii nchi umetoka nayo mbali, bila wewe itakufa. Bila wewe haitakuwepo tena. Using'atuke wewe ndo alpha na omega umepambana sana"
Akajua haya manyang'au yanajisemea yenyewe.yanataka yaendelee kujineemesha na wizi. Alijua hayana lolote la ukweli.
Akaangalia mabadiliko ya kisiasa yanayohitajika hayamruhusu kuendelea kuwa Rais. Akang'atuka.
Wachawi, manyang'au ,mafisadi ,kupe ,chawa na viroboto ndo wapo hivyo. Watakuambia hata ukiwa kwenye machela wewe ndo tunakutaka. Hakuna mwingine kama wewe mzee. Umetoka mbali na chama au hii nafasi. Umewekeza sana, tunakutaka wewe tu. Wanakulamba hadi Makalio kukusafisha.... Kumbe wanaogopa mageuzi, mabadiliko. Hawapo tayari kubadilika. Watakosa ulaji.
Yericko Nyerere anaweza elezea hili zaidi.
Akajua haya manyang'au yanajisemea yenyewe.yanataka yaendelee kujineemesha na wizi. Alijua hayana lolote la ukweli.
Akaangalia mabadiliko ya kisiasa yanayohitajika hayamruhusu kuendelea kuwa Rais. Akang'atuka.
Wachawi, manyang'au ,mafisadi ,kupe ,chawa na viroboto ndo wapo hivyo. Watakuambia hata ukiwa kwenye machela wewe ndo tunakutaka. Hakuna mwingine kama wewe mzee. Umetoka mbali na chama au hii nafasi. Umewekeza sana, tunakutaka wewe tu. Wanakulamba hadi Makalio kukusafisha.... Kumbe wanaogopa mageuzi, mabadiliko. Hawapo tayari kubadilika. Watakosa ulaji.
Yericko Nyerere anaweza elezea hili zaidi.