Nyerere aweza kuwa mtakatifu wa kwanza Tanzania?

Nyerere aweza kuwa mtakatifu wa kwanza Tanzania?

Adolf Mark

Member
Joined
Nov 4, 2011
Posts
50
Reaction score
26
Nimepitia kitabu cha kanisa katoliki kinachoelezea historia za watakatifu, kwa nchi za Afrika Mashariki nimeona mashahidi wa uganda pekee kama karoli lwanga, mathias mulumba n.k, na kwa majirani zetu wa sudan nimemwona sista josephine bakhita ambaye baadaye aliishi italia, kongo nimemwona isdore bakhanja, lakini kenya, tanzania, msumbiji, rwanda sijaona yeyote, hata ivyo kutoka jimbo la musoma nimepata taarifa kuwa vatican ipo kwenye mkakati wa kumcanonize nyerere, naamini hayati mwl nyerere atakuwa mtakatifu wa kwanza kutoka Tanzania, bila shaka itaongeza heshima ya kanisa la Mungu Tanzania.
 
Canonization siyo mchakato wa kisiasa kama tunavyofikiri hapa.
 
Mungu abariki hili litimie kweli.
 
Tunaona fahari sana. Na punde tutaanza kupokea watalii kujifunza zaid kuhusu Mtakatifu
 
Mwanadamu anaanzaje kuitwa mtakatifu?? Humu duniani hakuna yeyote anayestahili kuitwa mtakatifu,,huyo wa Vatican mnaemtukuza nae ni kenge tu
 
Hii nchi bwana inamambo ya kustaajabisha sana yani!
Jitu lililokufa linaenziwa na kutukuzwa kuliko hawa walio hai na wanafanya makubwa ila hatuwapongezi na kuwasifu mpaka wafe ndio tuanze kuwaenzi kinafiki..ptuuu!
 
Hakuna mtakatifu hapa duniani, mtakatifu ni MUNGU pekee kwasababu hana upendeleo. Lakin mtu ambae wakati anapumulia machine anaomba watu wamuombee hana utakatifu. Mtakatifu yoyote angejiombea mwenyewe.
 
Mwanadamu anaanzaje kuitwa mtakatifu?? Humu duniani hakuna yeyote anayestahili kuitwa mtakatifu,,huyo wa Vatican mnaemtukuza nae ni kenge tu

Mzee acha kabisa tabia ya kucheza na imani za watu na usirudie tena kutumia maneno ya kejeli. Baki na imani yako unayoiamini na Mwombe Mungu kwayo, lakini usipoteze muda kucheza na imani za watu. Unawezaje kumuita Kingozi Mkubwa wa Kanisa 'Kenge' ??. Najua wewe sio Roman Catholic hivyo kamwe huwezi kujua fumbo la imani ya Ukatoliki, tuachie wenye nayo, fata yako.
 
Mzee acha kabisa tabia ya kucheza na imani za watu na usirudie tena kutumia maneno ya kejeli. Baki na imani yako unayoiamini na Mwombe Mungu kwayo, lakini usipoteze muda kucheza na imani za watu. Unawezaje kumuita Kingozi Mkubwa wa Kanisa 'Kenge' ??. Najua wewe sio Roman Catholic hivyo kamwe huwezi kujua fumbo la imani ya Ukatoliki, tuachie wenye nayo, fata yako.
We ni nani hata useme nisirudie?? Au huyo mtakatifu wa Vatican ndio aliekutoa marinda? Pumb.avu zako
 
Binadamu anamfanya binadamu mwenzake kuwa mtakatifu? Kweli dunia ina mambo. Nakumbuka Yesu alikataa kuitwa kuwa ni mwema na akasema mwema ni mmoja tu, MUNGU.
Kuna haja ya kuendelea kujifunza maandiko ya Mungu. Hakuna kitu kinaitwa fumbo la Imani. Huo ni udanganyifu
 
Back
Top Bottom