Nyerere aweza kuwa mtakatifu wa kwanza Tanzania?

Nyerere aweza kuwa mtakatifu wa kwanza Tanzania?

Binadamu anamfanya binadamu mwenzake kuwa mtakatifu? Kweli dunia ina mambo. Nakumbuka Yesu alikataa kuitwa kuwa ni mwema na akasema mwema ni mmoja tu, MUNGU.
Kuna haja ya kuendelea kujifunza maandiko ya Mungu. Hakuna kitu kinaitwa fumbo la Imani. Huo ni udanganyifu

Mnatumia nguvu kubwa sana kulishambulia Kanisa Katoliki. Wewe sio muumini wa Kanisa Katoliki na huna interest na imani yao, ya nini sasa kuhangaika kulishambulia Kanisa kila siku kwenye mitandao kama si uhayawani ni nini. Kanisa Katoliki linayo misingi yake imara na haliwezi kuyumbishwa na wapuuzi kama nyie. Wapo waliojaribu wakaishindwa. Tulia na imani yako huko unakoabudu mzee. Kushambulia imani za watu ni ishara ya mtu mpumbavu wa kiwango cha juu kabisa. Unataka wote tujiunge na dhehebu lako ?
 
Mwanadamu anaanzaje kuitwa mtakatifu?? Humu duniani hakuna yeyote anayestahili kuitwa mtakatifu,,huyo wa Vatican mnaemtukuza nae ni kenge tu
Kua na muda wa kuchagua majibu yako vizuri, epuka kua chanzo cha sintofahamu.
Asante
 
Unachokitafuta utakipata soon, ila hakikisha umeandaa vilainishi,nyambafu
Bwege tu wewe, huna akili hata bahati mbaya, unachojua ni upumbavu tu, unafikiri ndio ujanja, wenzio tunakuchora tu na kukuoana garbage..what a loser.[emoji23]
 
Amen amen nawaambieni atakuwa mtakatifu wa duniani na wala siyo mbinguni, atakuwa mtakatifu wa macho ya nyama ila siyo kwa macho ya rohoni!
 
Hii nchi bwana inamambo ya kustaajabisha sana yani!
Jitu lililokufa linaenziwa na kutukuzwa kuliko hawa walio hai na wanafanya makubwa ila hatuwapongezi na kuwasifu mpaka wafe ndio tuanze kuwaenzi kinafiki..ptuuu!
Ni kweli ni ujinga wa kiwango cha juu.hata hawa mitume na manabii nao ni ujinga tuu.walishakufa.hata babu zako ni upumbavu tuu kuwakumbuka.
 
Kama itafikiwa hatua hiyo basi kwa kuwa historia haijawahi kumtambua mtu mwingine kabla yake basi atakuwa wa kwanza to be canonised, How ever it is not à matter of just a decision of one person. It is a process that is guided by postulator and the proven gathered evidences that will indubitably allow him to be canonised, Let out intercessions be intrusted through him and any miracles received be wittnessed and sent to the postulator.
 
Mzee acha kabisa tabia ya kucheza na imani za watu na usirudie tena kutumia maneno ya kejeli. Baki na imani yako unayoiamini na Mwombe Mungu kwayo, lakini usipoteze muda kucheza na imani za watu. Unawezaje kumuita Kingozi Mkubwa wa Kanisa 'Kenge' ??. Najua wewe sio Roman Catholic hivyo kamwe huwezi kujua fumbo la imani ya Ukatoliki, tuachie wenye nayo, fata yako.
Na nyie ni makenge
 
Back
Top Bottom