Mohamed Said
JF-Expert Member
- Nov 2, 2008
- 21,967
- 32,074
Pamoja na kwamba sijafungua video, lakini nimeshangazwa kuona kwa mara ya kwanza umempa sifa nzuri Mwalimu Julius NyerereNyerere Day 2025: Mwalimu Anastahili Sifa
Lupwelo,Pamoja na kwamba sijafungua video, lakini nimeshangazwa kuona kwa mara ya kwanza umempa sifa nzuri Mwalimu Julius Nyerere
Asee imekuaje tena,,,,,au ndo gia angani
Kaveli,Apewe HESHIMA, siyo SIFA.
-Kaveli-
Sehemu nyingi tuKaveli,
Umeona mahali nimemvunjia Mwalimu heshima?
Ausar,Sehemu nyingi tu
Lupwelo,
Nionyeshe nilipompa Mwalimu sifa asiyostahili.
Lupweko,
Halafu bado anasema nionyeshe jambo gani baya hapo!
Njinjo,Tumekuchoka na Sykes wako
Lupweko,Halafu bado anasema nionyeshe jambo gani baya hapo!
Kama ulivyoongea kwenye video hiyo kwamba wasomaji wataamua, na mimi nasema watazamaji wa hiyo video wataamuaLupweko,
Nifahamishe huo ubaya.
Marashi,mohammed ushashibishwa heshima imerudi eeh
Safi kabisa HESHIMA ndiyo anayostahili sifa waendelelee kupewa hawa ndugu zetu wa sasa hv mf huu hapaApewe HESHIMA, siyo SIFA.
-Kaveli-
Lupweko,Kama ulivyoongea kwenye video hiyo kwamba wasomaji wataamua, na mimi nasema watazamaji wa hiyo video wataamua