Mpigania uhuru wa pili
JF-Expert Member
- Apr 12, 2023
- 3,380
- 6,376
Kumekua na upotoshaji mkubwa sana juu ya viwanda ambavyo vingi vilianza kufa miaka ya 1980's mpaka 2000's mwanzoni vikawa vimekufa vyote
Viwanda vingi sana hapa Tanzania vilijengwa na mkoloni ni vichache sana vilijengwa na nyerere na hata ukija kwenye miundombinu mingi kama reli nyingi zilijengwa na wakoloni
Moja ya sababu kubwa ya viwanda kufa ni kwa sababu sisi Tanzania hatukuvijenga bali tulirithi kutoka kwa wakoloni hatukujua uchungu na umuhimu wa kuviendesha
Viwanda vingi vilijengwa kwenye msingi wa ubepari ila baadaye vikawa vinaendeshwa kwa mfumo wa ujamaa changamoto ndo ilipo-anzia hapo mpaka vilipokufa
Viwanda vingi sana hapa Tanzania vilijengwa na mkoloni ni vichache sana vilijengwa na nyerere na hata ukija kwenye miundombinu mingi kama reli nyingi zilijengwa na wakoloni
Moja ya sababu kubwa ya viwanda kufa ni kwa sababu sisi Tanzania hatukuvijenga bali tulirithi kutoka kwa wakoloni hatukujua uchungu na umuhimu wa kuviendesha
Viwanda vingi vilijengwa kwenye msingi wa ubepari ila baadaye vikawa vinaendeshwa kwa mfumo wa ujamaa changamoto ndo ilipo-anzia hapo mpaka vilipokufa