Nyeri siblings own slum neighbouring State House

Nyeri siblings own slum neighbouring State House

Jamaa unaona aerial view ya Nairobi, then you see trees unafikiria Nairobi ni kichaka?., under the trees on street level is well developed!., tembea ndio utajua nyie hamna city, Dar ni kijiji kubwa tu.., with 90% unplanned settlements, CBD ni 10%, with over 80% poor dwellers., reason for Multidimensional poverty in Tanzania.
Tukianza kuhesabu hapa hamsini zinafika..
Sasa jiulize mji wenye km/sq 600 unakuwa na slums zaidi ya hamsini,halafu ukizingatia nairobi haijajengwa kabisa 3/4 ya mji wote ni miti,misitu,na vichaka. Sehemu ndogo tu ndo imejengwa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jamaa unaona aerial view ya Nairobi, then you see trees unafikiria Nairobi ni kichaka?., under the trees on street level is well developed!., tembea ndio utajua nyie hamna city, Dar ni kijiji kubwa tu.., with 90% unplanned settlements, CBD ni 10%, with over 80% poor dwellers., reason for Multidimensional poverty in Tanzania.
Tukianza kuhesabu hapa hamsini zinafika..
Sasa jiulize mji wenye km/sq 600 unakuwa na slums zaidi ya hamsini,halafu ukizingatia nairobi haijajengwa kabisa 3/4 ya mji wote ni miti,misitu,na vichaka. Sehemu ndogo tu ndo imejengwa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi majuzi tu wakaazi wa kibera wamepiga kura baada ya mp wao kufariki., wewe mjuaji, population yao kwa ujumla uliwekwa wazi, na ya wale walio jisajili kupiga kura pia ika wekwa., sasa wewe Papi Chulo mzembe kimawazo, pambana na uchochole wa hali ya juu EAC/SADC, angalau mpunguze aibu.
Data zikiwekwa wazi kuwahusu mnazikana, zikiwafurahisha mnakumbatia, ilifika wakati ccm walikomesha research institutions kuchapisha matokeo yao ya utafiti kuhusu Tanzania, na media wakaonywa, kwasababu yanafumania "usherati" ya propaganda wa serikali ya ccm., mko ovyo sana!!!
Sisi huwa hatu-deal na hizo data kutoka kwa hao mabwana zenu from Europe,sisi tuna-deal hasa na uhalisia,kibera ni 2.5million dwellers, sina makosa slums ina 300k,ukiachana na slums nyingine lukuki wakazi wa nairobi almost 60% wanaishi kwa worst slums,elewa "worst slums"

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi majuzi tu wakaazi wa kibera wamepiga kura baada ya mp wao kufariki., wewe mjuaji, population yao kwa ujumla uliwekwa wazi, na ya wale walio jisajoli kupiga kura pia ika wekwa., sasa wewe Papi Chulo mzembe kimawazo, pambana na uchochole wa hali ya juu EAC/SADC, angalau mpunguze aibu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Utumie akili hata kidogo basi mbona una hasira sana


We unadhani census kila mmoja huhesabiwa???

Hata kura huwa haipigwi na kila mmoja..
 
Yeah that is posta from faaaar away, now look the whole of nairobi in one pic taken from inside of the city. Yani unaeza panda juu ya gorofa ukapga picha nairobi yote [emoji23][emoji23][emoji23] huwez fanya hvyo kwa dar unless uwe miles away
tapatalk_1578208097155.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yeah that is posta from faaaar away, now look the whole of nairobi in one pic taken from inside of the city. Yani unaeza panda juu ya gorofa ukapga picha nairobi yote [emoji23][emoji23][emoji23] huwez fanya hvyo kwa dar unless uwe miles awayView attachment 1312832

Sent using Jamii Forums mobile app
Ivi umewai tembea Nairobi!!hio ata si robo Nairobi hapo 1/4 ya Westlands, Nairobi cbd na upperhill kidogo, sehemu kubwa ya Westland haiko actually 3/4,kilimani,kileleshwa ,ngara na parklands haziko....ficha upumbavu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndio maana nimesema wewe ni mzembe kimawazo! Wakati wa kura katika eneo flani, population kwa ujumla inawekwa wazi, na ile ya wanao qualify kupiga kura pia inatolewa, wale m zaidi ya 18 years and above, alafu na ile ya nambari ya walio jisajili kupiga kura. You can't pull us down ili tutoshane, hilo halitowezekana, tuna shida zetu, hilo liko wazi, lakini za kwenyu ni balaa! In Dar imefunika over 80%!., balaaa!!
Utumie akili hata kidogo basi mbona una hasira sana


We unadhani census kila mmoja huhesabiwa???

Hata kura huwa haipigwi na kila mmoja..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndio maana nimesema wewe ni mzembe kimawazo! Wakati wa kura katika eneo flani, population kwa ujumla inawekwa wazi, na ile ya wanao qualify kupiga, zaidi ya 18 years and above, alafu na ile ya nambari ya walio jisajili kupiga kura. You can't pull us down ili tutoshane, hilo halitowezekana, tuna Shiva zetu, hilo liko wazi, lakini za kwenyu ni balaa! In Dar imefunika over 80%!., balaaa!!
Utumie akili hata kidogo basi mbona una hasira sana


We unadhani census kila mmoja huhesabiwa???

Hata kura huwa haipigwi na kila mmoja..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndio maana nimesema wewe ni mzembe kimawazo! Wakati wa kura katika eneo flani, population kwa ujumla inawekwa wazi, na ile ya wanao qualify kupiga, zaidi ya 18 years and above, alafu na ile ya nambari ya walio jisajili kupiga kura. You can't pull us down ili tutoshane, hilo halitowezekana, tuna Shiva zetu, hilo liko wazi, lakini za kwenyu ni balaa! In Dar imefunika over 80%!., balaaa!!

Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona una hasira kijana???? Au nawe waishi dandora slums
 
Back
Top Bottom