Nyeto raha sana

Nyeto raha sana

Habari,

Kwanza haina gharama,mambo ya kulipia lodge,chakula,vinywaji,nauli,mara wigi,sijui kusuka,shangazi kafiwa na mtoto wa mjomba wake hivyo inatakiwa mchango nk nk

Pili unamtafuna mtu yeyeto aliyekuvutia,iwe mtangazaji,mbunge,baa medi,nesi,wazir.i,mrembo uliyemwona kwenye mizunguko yako na akakuvutia basi unamtafun pasipo usumbufu wa ahadi wala nini.

Tatu unajiamulia mwenyewe saizi,namaanisha kama unataka ya kubana ama ya kupwaya ni wewe kwani hii inakuwa ndani ya uwezo wako.

Nne hakuna mambo ya kupeana stress,hakuna kujibizana vibaya,kufumaniana,sijui meseji za mchepuko.

Tano ni muda wowote popote ukiamu basi mambo ni muswano,hakuna mambo ya sijui leo niko period,mara nina chango,ooh leo sijisikii,mara subiri watoto walale.

Sita,haina kuambukizana magonjwa ya zinaa,gono,kisonono,kaswende,ukimwi utakupitia mbali.



Ya nini uteseke?
Nyeto ndio suluhisho la matatizo yatokanayo na mahusiano.

Mapovu ruksa.
We jamaa unaonaje Ile wachafuTv ikishazinduliwa ulete tangazo lako fasta
 
ukiandika uzi wa kuomba ushauri wa kutatua tatizo la kibamia Usisahu kunitag SITAKUTUKANA
 
Mimi huwa namuwazaga mama mmoja hivii kwa hasira anazo nifanyia mumewe,kwakweli namfaidi yani utafikiri tumeoa wote
 
Back
Top Bottom