Habari,
Kwanza haina gharama,mambo ya kulipia lodge,chakula,vinywaji,nauli,mara wigi,sijui kusuka,shangazi kafiwa na mtoto wa mjomba wake hivyo inatakiwa mchango nk nk
Pili unamtafuna mtu yeyeto aliyekuvutia,iwe mtangazaji,mbunge,baa medi,nesi,wazir.i,mrembo uliyemwona kwenye mizunguko yako na akakuvutia basi unamtafun pasipo usumbufu wa ahadi wala nini.
Tatu unajiamulia mwenyewe saizi,namaanisha kama unataka ya kubana ama ya kupwaya ni wewe kwani hii inakuwa ndani ya uwezo wako.
Nne hakuna mambo ya kupeana stress,hakuna kujibizana vibaya,kufumaniana,sijui meseji za mchepuko.
Tano ni muda wowote popote ukiamu basi mambo ni muswano,hakuna mambo ya sijui leo niko period,mara nina chango,ooh leo sijisikii,mara subiri watoto walale.
Sita,haina kuambukizana magonjwa ya zinaa,gono,kisonono,kaswende,ukimwi utakupitia mbali.
Ya nini uteseke?
Nyeto ndio suluhisho la matatizo yatokanayo na mahusiano.
Mapovu ruksa.