Nyeupe na nyeusi kuhusu sifa za wanawake wa makabila kadhaa Tanzania

Mkuu kweli una haki ya kuwa kanali aisee wote hao umengonoka nao?
Safi sana kwa kazi nzuri,baada ya kungonoka nao wote hao ukaamua sasa kumuweka ndani mkerewe maana naona umempamba sana.
 
Mkuu kweli una haki ya kuwa kanali aisee wote hao umengonoka nao?
Safi sana kwa kazi nzuri,baada ya kungonoka nao wote hao ukaamua sasa kumuweka ndani mkerewe maana naona umempamba sana.
Bado cjaoa mm ni 25 ila kati ya niliowagegeda yule mkerewe wa IFM anayajua mambo
 
Wachagga, wapare na wakurya, wote wamekeketwa. Ulisahau sifa yao hii muhimu
 
wanawake wa kuoa ni waha tu! hao wengine kucheza nao tu! ukibisha we jini!!!
 
Kwa anaewajua wangulimi wa huko Mara anisaidie tafadhali
Ni wazuri sio weusi sana
Wana bidii ya kazi
Hawavunji ndoa kirahisi
Unatakiwa uwe mkali kidogo ndani ya nyumba
Sio wapenda mapenzi sana
Ni wasomi wakipata mazingira
 
Eti wapare shule zero,hapo ndo nlipokuona wewe **** kabisa.
 
Huu utafiti wako na takwimu NBS wanautambua rangi nzuri si ati kuwa mweupe mzee vingi ww ndio unaongopa.
 
Upo sawa kuhusu elimu mtoa mada kachemsha watu wameenda shule ushahidi upo ukitaka angalia wizara za Afiya ,Elimu wanejazana huko wengi kilashule kuna mwalim mpare na kila hospital kuna nesi na ma dactari wa kipare
Hata jf kuna mshana jr nae si mpare? [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…