100% kweli kabisa.usioe muha kama una mtoto wa nje
-ni wavumilivu
-wachoyo
-hawapendi ndugu wa mume
-wanahusudu limbwata
-hawawezi kukaa na mtoto asie wake
- hawana gharama, unapotaka kuoa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
100% kweli kabisa.usioe muha kama una mtoto wa nje
-ni wavumilivu
-wachoyo
-hawapendi ndugu wa mume
-wanahusudu limbwata
-hawawezi kukaa na mtoto asie wake
- hawana gharama, unapotaka kuoa
Ipo lushoto mkuu tanga huko kwa wasamba na wambugumlalo ndio nini (samahani)
Sijsona waha...
🙂🙂🙂
Tafiti hupongwa kwa tafiti!Naona wakerewe km umewaongelea kimapambo sana
Utafiti wako ni batili
Nahisi ni papuchiMkuu vibumbu ni kiungo gani hicho?
Hawa ni jamii ya kikurya tu hata lafudhi na majina wanawake ni ruba akitaka umuoe utamuoa tu ni wababe wanapenda kutawala mwanaume vilevile ni washirikina katika mapenziKwa anaewajua wangulimi wa huko Mara anisaidie tafadhali
Ni jamii ya wafugaji?Ipo lushoto mkuu tanga huko kwa wasamba na wambugu
Tehe tehe[emoji23][emoji16]Teh Teh....anamaanisha papuchi, au hata hiyo huijui?!
Upo sawa kuhusu elimu mtoa mada kachemsha watu wameenda shule ushahidi upo ukitaka angalia wizara za Afiya ,Elimu wanejazana huko wengi kilashule kuna mwalim mpare na kila hospital kuna nesi na ma dactari wa kipareHapo kwa wapare ebu edit swala la elimu wapo vzr kama watani zao wakina mangi
na wagogo pia ,, wana sifa km hiiWanawake wa kisafwa hawa ni wachafu kuliko uchafu wenyewe
Niwachoyo cjawahi ona
Hawako romantic kabisa (kwa sababu ya uchafu )
Kasahau visimi virefu kama ulimi wa mbwa.....huyu jamaa ni mkerewe ...kawapamba sana
Hizi takwimu mkuu kasema zitafutwe kwenye taasisi husika, wanazo zote.Mleta takwimu akamatwe.
Sikuzihizi makabila yamekufa.