Nyeupe na nyeusi kuhusu sifa za wanawake wa makabila kadhaa Tanzania

Nyeupe na nyeusi kuhusu sifa za wanawake wa makabila kadhaa Tanzania

Sijsona waha...
🙂🙂🙂


. Uchawi wa kuiba waume za watu, hawa na wahaya wanaongoza hii sekta ya wizi
. Washamba mno na hawapendi shule (wanawake zao wanawaza kuolewa baada ya kumaliza dara la 7 ama akivunja nguo)
. Jamii nzima ya Kiha uchawi ni kipaumbele siku zote....nafikiri ndo kabila linalo ongoza kwa uchawi hapa Bongo wakifuatiwa na ndugu zao Wafipa.
 
Mleta mada kwa wachagga kidogo umeboronga. Hapo kwenye rangi si wachagga walio wengi wana rangi nzuri, ni wachache sana wako hivyo. Hujagusia meno yao pia....wengi wana meno ya kuoza, wenyewe wanadai ni kutokana na maji ya milimani. Si waaminifu kwenye mahusiano na wanagawa sana kwa ajili ya hela mpaka wakaitwa majinamizi ya talaka, pia wengi wao wametahiriwa. Si wachagga wengi ambao wamesoma, hii ni imani potofu mkuu. Nimeishi kule for 3 good years.
 
Kwa anaewajua wangulimi wa huko Mara anisaidie tafadhali
Hawa ni jamii ya kikurya tu hata lafudhi na majina wanawake ni ruba akitaka umuoe utamuoa tu ni wababe wanapenda kutawala mwanaume vilevile ni washirikina katika mapenzi
 
Hapo kwa wapare ebu edit swala la elimu wapo vzr kama watani zao wakina mangi
Upo sawa kuhusu elimu mtoa mada kachemsha watu wameenda shule ushahidi upo ukitaka angalia wizara za Afiya ,Elimu wanejazana huko wengi kilashule kuna mwalim mpare na kila hospital kuna nesi na ma dactari wa kipare
 
Mleta takwimu akamatwe.
Sikuzihizi makabila yamekufa.
 
Ngosha kwa ukomavu sawa, lkn pia romance hawajui ni mieleka kwenda mbele.... Room ikabadilika kuwa "WWE ring" kabla ya mchezo...
 
Back
Top Bottom