Nyie CCM sumu mnaonja kwa kulamba?

Nyie CCM sumu mnaonja kwa kulamba?

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Nawaulizeni tu makada kindakindaki mliopo hapo Lumumba na wale Wakereketwa wa mashinani huko visiwandui Unguja, Je nyie sumu mnaonja kwa kulamba?

Hili ni swali la kiuchaguzi kwa sababu nimelipata katikati ya mihemuko ya uchaguzi huko Ufipa.

Watu wenye ulinzi wa kutosha wa kitaifa wameogopa kuonja sumu kwa kulamba na kubwaga manyanga.

Maendeleo hayana vyama!
 
Kuna wimbi kubwa linakuja la watu kujitenga na Chadema, na hasa wale wasio na connection na kaskazini. Hii si kwa bahati mbaya, ni makakati wa makusudi kukinusuru chama kutoka kwenye makucha ya walafi.
 
Eti DJ Mbowe kiongozi..hizi SACCOS no wakati muafaka vifutwe tu

Viva Magufuli..wameanza kuelewa
 
Hahahaaa........ Kamanda Sumaye kabwaga manyanga!
Sumaye hajawahi kuwa Kamanda. Alipima upepo akaamini kuwa Mzee wa nywele nyeupe atashinda ichaguzi wa 2015 ili aendelee kula mema ya nchi. Picha likabadilika. Kapata sababu sasa karudi kundini
 
Eti DJ Mbowe kiongozi..hizi SACCOS no wakati muafaka vifutwe tu

Viva Magufuli..wameanza kuelewa

Na msipoifuta cdm, hiyo ccm chama cha wazee mtapata tabu sana, hapo ilipo cdm ndio inazidi kunoga. Piga takataka zote toka ccm chini, pumbavu kabisa. Na huyo Mbowe atatuambia hizi takataka toka ccm alizipokea za nini.
 
Hahahaaa........ Kamanda Sumaye kabwaga manyanga!

Tena aondoke haraka sana, anataka uwenyekiti huku hajawahi kata kuanzisha tawi lolote la chama. Akamalizie uzee wake alipolia ujana wake fullstop. Wapigie simu mzee Mgaya na mchungaji Erasto watoe maoni yao.
 
Inathibitisha Sumaye alizoea vyeo vya kuteuliwa na kubebwa.

Hata uwaziri mkuu ungekuwa unagombewa asingeshinda.

Alifahamu anataka kugombea nafasi ya uenyekiti na Mbowe, lakini hakuwa na strategies za kugombea,alidhani wanateuwa kama nafasi ya uwaziri mkuu na unapigiwa Kira ya ndiyo, yani ukipendekezwa jina na rais umeshinda, hahaha.

Alipaswa ajaribu kugombea, nafasi za kuteuliwa hazipo kule.

Kamanda sijui magwanda kayaacha wapi.
 
Nawaulizeni tu makada kindakindaki mliopo hapo Lumumba na wale Wakereketwa wa mashinani huko visiwandui Unguja, Je nyie sumu mnaonja kwa kulamba?

Hili ni swali la kiuchaguzi kwa sababu nimelipata katikati ya mihemuko ya uchaguzi huko Ufipa.

Watu wenye ulinzi wa kutosha wa kitaifa wameogopa kuonja sumu kwa kulamba na kubwaga manyanga.

Maendeleo hayana vyama!
pengine jamaa Ana kikosi kazi siyo bure
 
Nawaulizeni tu makada kindakindaki mliopo hapo Lumumba na wale Wakereketwa wa mashinani huko visiwandui Unguja, Je nyie sumu mnaonja kwa kulamba?

Hili ni swali la kiuchaguzi kwa sababu nimelipata katikati ya mihemuko ya uchaguzi huko Ufipa.

Watu wenye ulinzi wa kutosha wa kitaifa wameogopa kuonja sumu kwa kulamba na kubwaga manyanga.

Maendeleo hayana vyama!
Naskia hata kupigwa risasi tundu lissu kule makao makuu ya ccm,police wameshindwa kujua mhusika [emoji16][emoji16]ukiamini ya ccm ni rahisi kuamini simba anaweza kuzaa na fisi,PM kaunga juhudi kwa style ya sumu
 
Inathibitisha Sumaye alizoea vyeo vya kuteuliwa na kubebwa.

Hata uwaziri mkuu ungekuwa unagombewa asingeshinda.

Alifahamu anataka kugombea nafasi ya uenyekiti na Mbowe, lakini hakuwa na strategies za kugombea,alidhani wanateuwa kama nafasi ya uwaziri mkuu na unapigiwa Kira ya ndiyo, yani ukipendekezwa jina na rais umeshinda, hahaha.

Alipaswa ajaribu kugombea, nafasi za kuteuliwa hazipo kule.

Kamanda sijui magwanda kayaacha wapi.
na zitto alizoea kuteuliwa ? Na slaa je
 
Back
Top Bottom