Nyie CCM sumu mnaonja kwa kulamba?

Nyie CCM sumu mnaonja kwa kulamba?

Tena aondoke haraka sana, anataka uwenyekiti huku hajawahi kata kuanzisha tawi lolote la chama. Akamalizie uzee wake alipolia ujana wake fullstop. Wapigie simu mzee Mgaya na mchungaji Erasto watoe maoni yao.
unaongelea uenyekiti ilhali mlipa lowassa agombee ngazi ya juu kabisa ..kwani alikua ameanzisha tawi gani?
 
na zitto alizoea kuteuliwa ? Na slaa je
Kwani Slaa naye aligombea huo uenyekiti huko CHADEMA?!

Slaa alikimbia mwenyewe baada ya kukosa alichokuwa akikitaka. Alianza kuikimbia ccm kisha akaikimbia CHADEMA.

Zitto alikuwa anatafuta political milage na hata sasa still hauziki, sasa anataka kumtumia Maalim Seif kule Zanzibar.

Lakini Sumaye hahaha kamanda muoga hata kugombea, angerudi ccm tu labda wangemteua ujumbe wa kamati kuu kama Pinda.
 
Tena aondoke haraka sana, anataka uwenyekiti huku hajawahi kata kuanzisha tawi lolote la chama. Akamalizie uzee wake alipolia ujana wake fullstop. Wapigie simu mzee Mgaya na mchungaji Erasto watoe maoni yao.
Chadema inanyemelewa na anguko kubwa kuwahi kutokea katika historia yake.

Alianza Dr Mollel....akaja Karanga....Mwita Waitara....Mzee Lowassa.........
Makundi.....Ryoba......Gegule......Nassari......Tundu Lisu...... Madiwani kibao.......Lazaro......na leo mzee Sumaye

Who next? Lord Mayor Dsm or?!!!!!
 
Chadema inanyemelewa na anguko kubwa kuwahi kutokea katika historia yake.

Alianza Dr Mollel....akaja Karanga....Mwita Waitara....Mzee Lowassa.........
Makundi.....Ryoba......Gegule......Nassari......Tundu Lisu...... Madiwani kibao.......Lazaro......na leo mzee Sumaye

Who next? Lord Mayor Dsm or?!!!!!
hujui siasa mzee tulia watu wanakokota ngoma!!
 
Hahahaaa....... Kama Sumaye kakimbia Cecil Mwambe ni nani pale Ufipa?!!
Wote ulioandika hapa hatuna shida nao.
Wapo kwa malengo ya ccm hapo. Hivi mwambe aliambiwa vipi ni jiwe kule mkutanoni?

Wajinga WA lumbumba Wote watemwe warudi kwao kwa kuunga juhudi.
 
unaongelea uenyekiti ilhali mlipa lowassa agombee ngazi ya juu kabisa ..kwani alikua ameanzisha tawi gani?

Sio ndio hapa tunamnanga Mbowe kila siku kuwa alichemsha na hatumuungi mkono kuendelea kuwa mwenyekiti kwa kuokota hizo takataka toka ccm.
 
Chadema inanyemelewa na anguko kubwa kuwahi kutokea katika historia yake.

Alianza Dr Mollel....akaja Karanga....Mwita Waitara....Mzee Lowassa.........
Makundi.....Ryoba......Gegule......Nassari......Tundu Lisu...... Madiwani kibao.......Lazaro......na leo mzee Sumaye

Who next? Lord Mayor Dsm or?!!!!!

Acha hao uliowataja, hata akiondoka Mbowe bado hakuna kitu kitatokea, tunajitambua ile mbaya. Kaondoka Slaa na hamna mtu anaogopa lolote ndio itakuwa hizo takataka? Yaani hapa tulipo tunapiga bia za kutosha kwa hilo takataka jingine kuondoka leo.
 
Tunawaunga mkono wanacdm halisi akina Lissu, Heche nk. Mbowe tunamuunga mkono lakini sio kuendelea kuwa mwenyekiti kwani muda wake umepita.
Lisu anaenda kwa wapambanaji wa kweli ACT wazalendo!
 
Acha hao uliowataja, hata akiondoka Mbowe bado hakuna kitu kitatokea, tunajitambua ile mbaya. Kaondoka Slaa na hamna mtu anaogopa lolote ndio itakuwa hizo takataka? Yaani hapa tulipo tunapiga bia za kutosha kwa hilo takataka jingine kuondoka leo.
Afadhali mjinywee tu bia maana maji yameshakorogeka!
 
Safi sana kama itakuwa hivyo waende ccm kwenye chama kinachoshinda 100%.kama demokrasia unakimbia.
Kuna wimbi kubwa linakuja la watu kujitenga na Chadema, na hasa wale wasio na connection na kaskazini. Hii si kwa bahati mbaya, ni makakati wa makusudi kukinusuru chama kutoka kwenye makucha ya walafi.
 
Mtaelewa vizuri mwezi November, 2020!

November 2020 hakuna uchaguzi bali kuna uchafuzi, na hilo halitupi shida maana tunajua ccm haiwezi kushinda kwa vyovyote vile iwapo kuna uchaguzi huru na wa haki. Hii ndio sababu hatumnyenyekei mjinga mjinga yoyote, tuna uhakika wananchi wanajitambua na hawako tayari kuburuzwa, sana sana hatutajiandikisha kupiga kura, huku tukijipanga kwa njia mbadala ya kupata viongozi wenye ridhaa ya umma na sio wanaopitishwa kwa mabavu ya Magufuli. Kama huamini kawaulize mzee Mgaya na mchungaji Erasto.
 
Back
Top Bottom