Akilindogosana
JF-Expert Member
- Jan 12, 2020
- 4,303
- 12,679
Nyie fauluni, tutakutana kwenye ajira.
Ujumbe kwa wazazi.
Wazazi anzeni kujiandaa mapema. Watoto wenu watafaulu sana, tena kwa marks za juu. Wataingia vyuoni watafaulu sana kwa marks za juu.
Baada ya hapo, kinakuja kilio cha ajira.
Wazazi anzeni kujiandaa mapema juu ya hatma ya watoto wako, je endapo akikosa ajira atafanya nini?
Ujumbe kwa wazazi.
Wazazi anzeni kujiandaa mapema. Watoto wenu watafaulu sana, tena kwa marks za juu. Wataingia vyuoni watafaulu sana kwa marks za juu.
Baada ya hapo, kinakuja kilio cha ajira.
Wazazi anzeni kujiandaa mapema juu ya hatma ya watoto wako, je endapo akikosa ajira atafanya nini?