Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huna tofauti na ilo jina ulilojiitaSijui 🤣
Akina wassira na nchimbi ni vijana wadogo sana 🤣Kuna haja gani ya kufurahia kuongezeka kwa asilimia za ufaulu kwa Taifa, ikiwa kama serikali yetu bado inaendelea kuwapa nafasi watu walewale tena wazee wa kina Wasira?
Oya wee tulia hivyo hivyo serikali haitoi ajira nendeni mkaajiriwe viwandani huko
Mimi mbona sibeti mkuutanzania ajira hakuna vijana wapo mtaani wanajambajamba tu wanashindwa kushinikiza serikali itoe ajira.
hawana future zaid ya kamari. kubeti
Sina kitu nipo emptyMfukoni una shingapi? 🤣
CCM oye Sa100 oye Sa100 katoa ajira kwa vijana 19,000,000 tangu aingie madarakani, hayo ni maelezo ya Mwasi KitokoKuna haja gani ya kufurahia kuongezeka kwa asilimia za ufaulu kwa Taifa, ikiwa kama serikali yetu bado inaendelea kuwapa nafasi watu walewale tena wazee wa kina Wasira?
Vijana wamepoteza dira Serikali yao inatoa ajira kwa vijana wa CCM tu na sio vinginevyo yaan ukiomba kazi wanakuchek kwenye database wewe kadi namba ngapitanzania ajira hakuna vijana wapo mtaani wanajambajamba tu wanashindwa kushinikiza serikali itoe ajira.
hawana future zaid ya kamari. kubeti
Mmmh mbona vijana hawana kazi wanadance tu amapiano za Chino kitaani hukoCCM oye Sa100 oye Sa100 katoa ajira kwa vijana 19,000,000 tangu aingie madarakani, hayo ni maelezo ya Mwasi Kitoko
Ndio hao kawaajiri kwenye bongofleva wanaimba upumbavu kuwapumbaza wajinga wasiipinge serikali, vijana ajira hawana na km zikitokea basi ni za mchongo mchongo yaan wanaopewa ni wale wanaojulikana kwenye chama cha mbogambogaMmmh mbona vijana hawana kazi wanadance tu amapiano za Chino kitaani huko
Acha kututisha...Nyie fauluni, tutakutana kwenye ajira.
Ujumbe kwa wazazi.
Wazazi anzeni kujiandaa mapema. Watoto wenu watafaulu sana, tena kwa marks za juu. Wataingia vyuoni watafaulu sana kwa marks za juu.
Baada ya hapo, kinakuja kilio cha ajira.
Wazazi anzeni kujiandaa mapema juu ya hatma ya watoto wako, je endapo akikosa ajira atafanya nini?
🤣Acha kututisha...
Hapo kwenye kuwatoa CCM madarakani, lazima kitaumana.Achaaa wajaeee mtaani njaa ikija kuwashikaa vzr wataleta mageuzi yakuiondoa CCM na sera zao mbovu madarakan....
Pelekeni wtt shule na msisahau kuwafundisha kazi za mikonoo..
Elimu hii ya panzi ana miguu mingapi mkuu?Degree ninayo na ninatamba nayo 😁Sina kazi ya kuajiriwa lakini (nimeelimika)
We kweli bolotobaDegree ninayo na ninatamba nayo 😁Sina kazi ya kuajiriwa lakini (nimeelimika)
Anza kupeleka pesa kidogo kidogo kule Ajira portal 😂 😂Nyie fauluni, tutakutana kwenye ajira.
Ujumbe kwa wazazi.
Wazazi anzeni kujiandaa mapema. Watoto wenu watafaulu sana, tena kwa marks za juu. Wataingia vyuoni watafaulu sana kwa marks za juu.
Baada ya hapo, kinakuja kilio cha ajira.
Wazazi anzeni kujiandaa mapema juu ya hatma ya watoto wako, je endapo akikosa ajira atafanya nini?