Nyie fresh graduates, please msiwaibie mabosi wenu. Waoneeni huruma. Kuanzisha biashara mpaka ikue ni kazi nzito sana

Nyie fresh graduates, please msiwaibie mabosi wenu. Waoneeni huruma. Kuanzisha biashara mpaka ikue ni kazi nzito sana

Alex Muuza Maembe

JF-Expert Member
Joined
Dec 13, 2024
Posts
655
Reaction score
1,413
Wadogo zangu ambao ni fresh graduates mnaokaribia kuanza kazi au mpo kazini ila ni wachanga hapo ofisini, kamwe usimuibie boss wako. Hiyo ni laana.

Kama unaona mshahara pamoja na bonuses zingine hazitoshi, please acha kazi kisha uende ukatafute kwingine kwenye maslahi mazuri zaidi ya hapo ofisini kwenu.

Wadogo zangu fresh graduates, kuanzisha biashara from scratch mpaka kuja kuwa kubwa ni mtihani mkubwa mnoo. Waoneeni huruma bosses wenu.

Wakati ninafanya kazi Tunduma mwaka 2014, nilikuwa ninalipwa mshahara take home roughly 700,000/= pamoja na bonuses 200,000/= lakini still kuna watu wa level yangu bado walikuwa wanacheza dili za kuiba spaner pamoja na spare tyre ilhali ni fresh graduates, hana mke wala mtoto. Yupo yeye kama yeye tuu.

Jenga picha katika kundi kubwa la vijana wapatao 20 waliofanya interview, ameaminiwa yeye tu mtu mmoja. Sasa inakuwaje unamuibia mtu aliyekuamini na kukukabithi mali yake uisimamie aisee??

Leo yangu mimi ni hayo tu. Mimi ni graduate wa tangia mwaka 2012. Nimeyaona mengi sana huko ofisini wadogo zangu wa 2000.

Ni mimi,

Muuza Maembe.
 
Wadogo zangu ambao ni fresh graduates mnaokaribia kuanza kazi au mpo kazini ila ni wachanga hapo ofisini, kamwe usimuibie boss wako. Hiyo ni laana.

Kama unaona mshahara pamoja na bonuses zingine hazitoshi, please acha kazi kisha uende ukatafute kwingine kwenye maslahi mazuri zaidi ya hapo ofisini kwenu.

Wadogo zangu fresh graduates, kuanzisha biashara from scratch mpaka kuja kuwa kubwa ni mtihani mkubwa mnoo. Waoneeni huruma bosses wenu.

Wakati ninafanya kazi Tunduma mwaka 2014, nilikuwa ninalipwa mshahara take home roughly 700,000/= pamoja na bonuses 200,000/= lakini still kuna watu wa level yangu bado walikuwa wanacheza dili za kuiba spaner pamoja na spare tyre ilhali ni fresh graduates, hana mke wala mtoto. Yupo yeye kama yeye tuu.

Leo yangu mimi ni hayo tu. Mimi ni graduate wa tangia mwaka 2012. Nimeyaona mengi sana huko ofisini wadogo zangu.

Ni mimi,

Muuza Maembe.
Kwa boys midoli inawatesa Sana mpaka wanaiba
 
Watanzania wengi tumejengwa katika misingi ya wizi na janja janja, angalia Leo nilikuwa naangalia gazeti moja , Kuna kigogo anashituka ukwasi wa ma RC na mawaziri kwa muda mfupi tu walioingia madarakani,Sasa unaweza kuona wanazo biashara gani,pia mtu mtanzania anapoingia katika ajira anaambiwa na watu wanaomzunguka kuwa ajira siyo guarantee, jiongeze.

Kujiongeza huko ndiko kuchangamka kwa kuiba mapema kwa dhana waliyonayo watanzania wengi.

Arusha kule Kuna clip inazunguka ,ya mkuu wa mkoa anawahutubia watu,kuwa wameajiriwa sehemu ,lakini product sifuri Sasa hao WATUMISHI itabidi wastaafishwe kwa manufaa yaumma.

Lengo la serikali na waajiri ni zuri, shida Sasa mwajiriwa anakumbuka Yale maneno ajira siyo guarantee,ni koti la kuazima,inabidi achukue mapema.

Kama umewahi kufanya Mambo ya Research ni wazi watanzania wengi Sana kimaadili wamejengeka katika dhana ya wizi( kuchangamka).

Angalia taarifa za Leo magazetini nyaya za shabba zimeibwa Tanesco na SGR unafikiri wakwapuaji hao wametoka mbali? Weka moja kichwani
 
Watanzania wengi tumejengwa katika misingi ya wizi na janja janja, angalia Leo nilikuwa naangalia gazeti moja , Kuna kigogo anashituka ukwasi wa ma RC na mawaziri kwa muda mfupi tu walioingia madarakani,Sasa unaweza kuona wanazo biashara gani,pia mtu mtanzania anapoingia katika ajira anaambiwa na watu wanaomzunguka kuwa ajira siyo guarantee, jiongeze.

Kujiongeza huko ndiko kuchangamka kwa kuiba mapema kwa dhana waliyonayo watanzania wengi.

Arusha kule Kuna clip inazunguka ,ya mkuu wa mkoa anawahutubia watu,kuwa wameajiriwa sehemu ,lakini product sifuri Sasa hao WATUMISHI itabidi wastaafishwe kwa manufaa yaumma.

Lengo la serikali na waajiri ni zuri, shida Sasa mwajiriwa anakumbuka Yale maneno ajira siyo guarantee,ni koti la kuazima,inabidi achukue mapema.

Kama umewahi kufanya Mambo ya Research ni wazi watanzania wengi Sana kimaadili wamejengeka katika dhana ya wizi( kuchangamka).

Angalia taarifa za Leo magazetini nyaya za shabba zimeibwa Tanesco na SGR unafikiri wakwapuaji hao wametoka mbali? Weka moja kichwani
Kuitoa biashara kutoka mtaji wa 50 millions mpaka kufikia 2 billions sio kazi ya kitoto. Kumuibia boss ni laana kubwa sana.
 
Back
Top Bottom