Alex Muuza Maembe
JF-Expert Member
- Dec 13, 2024
- 655
- 1,413
Wadogo zangu ambao ni fresh graduates mnaokaribia kuanza kazi au mpo kazini ila ni wachanga hapo ofisini, kamwe usimuibie boss wako. Hiyo ni laana.
Kama unaona mshahara pamoja na bonuses zingine hazitoshi, please acha kazi kisha uende ukatafute kwingine kwenye maslahi mazuri zaidi ya hapo ofisini kwenu.
Wadogo zangu fresh graduates, kuanzisha biashara from scratch mpaka kuja kuwa kubwa ni mtihani mkubwa mnoo. Waoneeni huruma bosses wenu.
Wakati ninafanya kazi Tunduma mwaka 2014, nilikuwa ninalipwa mshahara take home roughly 700,000/= pamoja na bonuses 200,000/= lakini still kuna watu wa level yangu bado walikuwa wanacheza dili za kuiba spaner pamoja na spare tyre ilhali ni fresh graduates, hana mke wala mtoto. Yupo yeye kama yeye tuu.
Jenga picha katika kundi kubwa la vijana wapatao 20 waliofanya interview, ameaminiwa yeye tu mtu mmoja. Sasa inakuwaje unamuibia mtu aliyekuamini na kukukabithi mali yake uisimamie aisee??
Leo yangu mimi ni hayo tu. Mimi ni graduate wa tangia mwaka 2012. Nimeyaona mengi sana huko ofisini wadogo zangu wa 2000.
Ni mimi,
Muuza Maembe.
Kama unaona mshahara pamoja na bonuses zingine hazitoshi, please acha kazi kisha uende ukatafute kwingine kwenye maslahi mazuri zaidi ya hapo ofisini kwenu.
Wadogo zangu fresh graduates, kuanzisha biashara from scratch mpaka kuja kuwa kubwa ni mtihani mkubwa mnoo. Waoneeni huruma bosses wenu.
Wakati ninafanya kazi Tunduma mwaka 2014, nilikuwa ninalipwa mshahara take home roughly 700,000/= pamoja na bonuses 200,000/= lakini still kuna watu wa level yangu bado walikuwa wanacheza dili za kuiba spaner pamoja na spare tyre ilhali ni fresh graduates, hana mke wala mtoto. Yupo yeye kama yeye tuu.
Jenga picha katika kundi kubwa la vijana wapatao 20 waliofanya interview, ameaminiwa yeye tu mtu mmoja. Sasa inakuwaje unamuibia mtu aliyekuamini na kukukabithi mali yake uisimamie aisee??
Leo yangu mimi ni hayo tu. Mimi ni graduate wa tangia mwaka 2012. Nimeyaona mengi sana huko ofisini wadogo zangu wa 2000.
Ni mimi,
Muuza Maembe.