Nyie mnaoomba na ya kutolea

Hakika, wale waliokuwa wanatuma bila ya kutokea wajitahidi waanze kutuma na ya kutolea.
Ila kama bimkubwa atalegeza kamba majibu ya kuna ishu naisikilizia, nina cash tu niko porini hakuna mawakala wa huduma za kipesa, airtel money yangu imefungiwa ilikuwa kama na laki 7 na upuuzi hiv siku ya 3 hiv sijapata nafasi ya kwenda ofisini kwao.. N.k n.k

Ama akiomba elfu 15 unamwambia niko bize saana, kuna shilingi elfu 6 hapa kwenye simu..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…