Amehlo
JF-Expert Member
- May 8, 2019
- 10,104
- 29,178
Kwanini macho yako yanadistract mtu?
Mkuu umekua distracted ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwanini macho yako yanadistract mtu?
Kiufupi, wanawake tukiwa tunaongea inabidi wakae kimya sasa!!!!
NdiyoMkuu umekua distracted ?
Pole dia, nimekuja kwa wakala hapa anadai salio la kutosha mamii, vumilia nimtume mtu akakufanyie mpango, si unajua mie hapa ninapoishi hakuna mawakala mamii..Makaveli dia, nipo njiani huku nimesahau wallet home, naomba unitumie kiasi kama unayo lakini, hii "kama unayo" huwa ni kimsemo cha kukulegeza
Mshukuru hicho hicho kidogo tunachowapa..Hata sisi ni wana wa wenzenu mjue, msitufanyie mambo meusi ya kutuma bila ya kutolea.
Vichwa vya familia pekee ndio vinatuma na ya kutolea? Huo mstari uko Mathayo sura ya ngapi?Wacha we!! Kwahiyo ghafla tumekuwa vichwa vya familia eeh?
Ndiyo
Mlipoambiwa mtakula kwa jasho mlifikiri ni kubet?Vichwa vya familia pekee ndio vinatuma na ya kutolea? Huo mstari uko Mathayo sura ya ngapi?
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Nakusalimia mkuu!
Endeleeni kuota zaidi na zaidi, nanyi mtabarikiwa sana.Mshukuru hicho hicho kidogo tunachowapa..
Wakat mwingine hapo tunakuwa tushatoa kuliko uwezo wetu, basi tu hamfikirii vingi[emoji85]
NambaTuma na ya kutolea basi
Mxyuuuuuuu kwendraaaaPole dia, nimekuja kwa wakala hapa anadai salio la kutosha mamii, vumilia nimtume mtu akakufanyie mpango, si unajua mie hapa ninapoishi hakuna mawakala mamii..
Namba
Umepokea Tshs173,500.00 kutoka kwa Wakala: KANYELA-MUMO MASULUPWETE. Salio Tshs177,236.00. Muamala No: CI210303.1943.B89048.Mxyuuuuuuu kwendraaaa
Kazi juu ya kazi..Endeleeni kuota zaidi na zaidi, nanyi mtabarikiwa sana.
Ooh sorry Ile msg nlikosea nlikua namtumia rafiki angu mwajei, ahsante nimeiona ila mbona haujaweka na ya kutolea?Umepokea Tshs173,500.00 kutoka kwa Wakala: KANYELA-MUMO MASULUPWETE. Salio Tshs177,236.00. Muamala No: CI210303.1943.B89048.
Wakala siyo mwenye hayo machoYa wakala eeh
Nilijua tu mamii, usijali..Ooh sorry Ile msg nlikosea nlikua namtumia rafiki angu mwajei, ahsante nimeiona ila mbona haujaweka na ya kutolea?
Tawire babaUmepokea Tshs173,500.00 kutoka kwa Wakala: KANYELA-MUMO MASULUPWETE. Salio Tshs177,236.00. Muamala No: CI210303.1943.B89048.