King Nkondo
JF-Expert Member
- Jan 1, 2023
- 1,399
- 2,110
Ujamaa umeharibu akili za wabongo wengi, hapo ulipo wewe mpo wanne je mlianza pamoja? Je nyie watatu mlioyemkuta wa Kwanza je mlisababisha ashindwe kupata wateja?Wewe huoni mimi napungukiwa wateja unafikiri nitalipaje kodi na matumizi yangu binafsi nitajihudumiaje??
Wabongo sio wabunifu kabisa yeye anasubiria mwenzie afanye nae aige huku kuigana igana kunatia hasira tu
Usiwezi kupoteza huo muda wakati umeleta mtu anayefanya biashara ninayoifanya mimi kama ulimpa mkataba wa pango basi rudisha kodi hakukuwa na haja ya kunipangisha zaidi ya kuleta uchonganishiMuda ukiisha Hama mwenyewe
Fanya ubunifu shughulisha ubongo wako kubuni biashara yako nasio kuiga igaIngelalamika miti kwenye misitu.
Una kipi Cha tofauti
Utaacha kwenda kushangaa Mbwa wa njano kisa jirani Ana mbwa mweupe shehe wng ?
Tafuta location nyingine usiende kujaza biashara sehemu ambayo umewakuta wenzio wakiwa wanaifanyawe fanya ubunifu wako mi ninayo pesa haina kazi nakuja kufungua biashara kama hiyo unayoibuni hapo jiran yako na naiboresha zaid
Ongezea 5: customer careKheeeeeeeeee..!! Unapajua Kariakoo..!!?? Unajuwa kuna maduka mangapi ya nguo? KWani una hati miliki ya biashara husika kwa sehemu husika?
AU nikuulize, Dar to Mbeya kuana mabasi mangapi? Kama wote wangekuwa na roho mbaya uliyonayo kwenye hili, ingekuwaje kwenye hiyo biashara ya mabasi?
Wewe kule sokoni unakokwenda au unakotuma watu waende kununua nyanya, kuna wangapi wanafanya biashara ya nyanya..??
Hata mkiwa wengi kwenye eneo moja na biashara moja, fuata zile P nne ili uwashinde wenzio;
1. Place
2. Price
3. Product
4. Packaging
Mwanamke nyonga kwenye bia ilishawahi hamisha watu kutoka bia moja kwenda nyingine.
Nimeiga biashara ila sijaiga location nawe tafuta location yako uweke stationary sio kujibanza karibu yangu kisa tu umeniona ninauza sanaHata wewe uliiga biashara ya stationery ilibuniwa ulaya.
Nimejenga frem Kwa ajili ya biashara hata kama frem zangu 10 wote watafanya biashara Aina moja Mie hainihusu cha msingi fremu zangu hazidodaUsiwezi kupoteza huo muda wakati umeleta mtu anayefanya biashara ninayoifanya mimi kama ulimpa mkataba wa pango basi rudisha kodi hakukuwa na haja ya kunipangisha zaidi ya kuleta uchonganishi
Kuongezeka kwa biashara ya aina moja sehemu moja INAPUNGUZA MAUZO NA WATEJA kwa wale waliotangulia wengine usipokomaa unaishia kufungaa. hapo ndo uchawi huanzaUjamaa umeharibu akili za wabongo wengi, hapo ulipo wewe mpo wanne je mlianza pamoja? Je nyie watatu mlioyemkuta wa Kwanza je mlisababisha ashindwe kupata wateja?
Sasa ukiona unabanwa sogea...kama umeshindwa kuwa mbunifuNa kwanini tujazane sehemu moja huku tukiwa tunafanya biashara hiyo hiyo moja?? Why?? Kwani location zingine hamna ?? Mpaka tujaze sehemu moja kama mabanda ya kuku
Location ulipo umesema jumla mpo wanne je hao watatu uliowakuta uliathiri mauzo Yao?Nimeiga biashara ila sijaiga location nawe tafuta location yako uweke stationary sio kujibanza karibu yangu kisa tu umeniona ninauza sana
Usiwe na wasiwasi huo kwenye biashara, hilo ni dunia nzima na ndipo biashara yako uliyeanzisha inakuwa na uhai mzuri.Mbongo Aisee ni mtu mwenye kichwa kigumu sana. Imagine mtu unaona kabisa sehemu fulani kuna biashara kama nne zinazofanana we unaenda kuanzisha biashara hiyo hiyo, hivi hii inaingia akili kweli au mnataka watu tuanze kuitana wachawi??
Mtu unaona kabisa sehemu fulani kuna stationary na studio kama tano na wewe pia unataka unazishe stationary kisa tu umemuona fulani ana wateja wengi kwenye stationary na wewe umeamua kuleta biashara yako tuanze kugombania wateja mwisho wa siku watu tunaanza kuitana wachawi
Halafu isitoshe nyinyi mnaopangisha fremu utamruhusu vipi mtu afanye biashara the same kama wapangaji wengine wanafanya hiyo biashara, huko ni kuleta uchonganishi. Kugombanisha pasipo na sababu za msingi.
Hii kuigana igana biashara inatia hasira sana. Basi tu watu tunaamua kuishi hivo hivyo. Siku ya pili sasa wateja wamepungua sana ofisini kwangu. Itoshe kusema wabongo mnamauzi sana.
Upo sahihi kabisa, mwisho wa siku mnaanza kuitana wachawi wakati kosa ni dogo kwanini asitafute sehemu nyingine afungue stationary yakeKuongezeka kwa biashara ya aina moja sehemu moja INAPUNGUZA MAUZO NA WATEJA kwa wale waliotangulia wengine usipokomaa unaishia kufungaa. hapo ndo uchawi huanza
SS we MO si ndio nakuambia ufanye uongeze ubunifu ili wakunotice tena kuwa una kitu tofautiFanya ubunifu shughulisha ubongo wako kubuni biashara yako nasio kuiga iga
Biashara ya kuigana Kariakoo tu ndiyo Imefanikiwa...Kuongezeka kwa biashara ya aina moja sehemu moja INAPUNGUZA MAUZO NA WATEJA kwa wale waliotangulia wengine usipokomaa unaishia kufungaa. hapo ndo uchawi huanza
Itabidi nijaribu mkuu,,, nikiwa na mtaji kuanzia kiasi gani🤔Jaribu usiogope unaweza sana mkuu
Ndo soko huria lilivyo na sio dhambi kuiga biashara wala Sheria haijavunjwa so imagine we uzuiliwe kufanya biashara ambayo tayari inafanywa na wengine nazani unaweza kwenda kujitoa mhanga ikulu, sifa kuu ya soko huria ni ushindani na ktk ushindani tunapata vitu Bora na fanisi so heri Kwa sie consumer tunakuwa wigo mpana wa kuchagua anayetoa huduma Bora.Kuongezeka kwa biashara ya aina moja sehemu moja INAPUNGUZA MAUZO NA WATEJA kwa wale waliotangulia wengine usipokomaa unaishia kufungaa. hapo ndo uchawi huanza
Ubunifu gani ambao nimeushindwa mimi?? Nyie ndio mnaoleta nuksi na wanga ili sisi tulioanza tufeli ili nyinyi muendelee kuchukua nafasi yetuSasa ukiona unabanwa sogea...kama umeshindwa kuwa mbunifu