Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaani pale acha niteseke tu anilipue lipu kama hamzaHaya tafuta hilo gaidi lako likutese nawakati wenye mioyo mizuri tumetulia tulii..[emoji4]
Mimi ni nani mpk nishindwe kuzungumza na mizimu..?😂Pambana na hali yako[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
We ulivyokuwa unatudolishia ulifikiri Mungu babu yako eeh?
Mh! Watu waliorogwa bhana..😅Yaani pale acha niteseke tu anilipue lipu kama hamza
Yaani basi tu ndo siwezi mwambia nyie GeorgeMh! Watu waliorogwa bhana..[emoji28]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mimi ni nani mpk nishindwe kuzungumza na mizimu..?[emoji23]
Mimi ni Nani mpk nisijui kuroga..? Subiri wiki haiishi narudi natamba hapa..[emoji4]
Naanza na wewe..😅[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Na bado utaachwa tu!
Kuniroga?Naanza na wewe..[emoji28]
Ndio nakuroga ili upunguze mdomo mdomoKuniroga?
Kuwa makini huyo George ndie yule tapeli alietangazwa hapa....Jamani leo katika pita pita zangu katika mtandao wa LinkedIn
Mekutana na mtu anaitwa George n,
Sijui ndo love at first sight sijui ndo Niko mpweke
Nyie nimeview profile ya George jamani am still viewing George's pic, and there's no way naweza mwambia ntaonekana kamalaya basi meishia tu kusave pic ake na kuiangilia
Nyie niitieni George mwambieni he's making me sleepless [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Aaah wewe! Mie nipo sanaaaa kushuhudia ukibwagwa[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ndio nakuroga ili upunguze mdomo mdomo
Mkuu kwani we ndio George[emoji23][emoji23]Njoo PM
Thread ikigongan uso kwa uso unaanz kufa wwKiti cha mbele
😶[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mwenyewe!