Nyie niitieni George

Pambana na hali yako[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
We ulivyokuwa unatudolishia ulifikiri Mungu babu yako eeh?
Mimi ni nani mpk nishindwe kuzungumza na mizimu..?πŸ˜‚
Mimi ni Nani mpk nisijui kuroga..? Subiri wiki haiishi narudi natamba hapa..😊
 
Mimi ni nani mpk nishindwe kuzungumza na mizimu..?[emoji23]
Mimi ni Nani mpk nisijui kuroga..? Subiri wiki haiishi narudi natamba hapa..[emoji4]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Na bado utaachwa tu!
 
Kuwa makini huyo George ndie yule tapeli alietangazwa hapa....
 
ngoja nicreate akaunt yenye picha ya jojiii[emoji23][emoji23][emoji23]..then namuibukia huyu pm, yajayo nitaleta mlejesho humu, yan andaeni amapianoo [emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…