Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
Njoo PM, Nina followers 13,000 LinkedIn I am sure atakua mmoja wa my network. Njoo PM tuyajenge[emoji19][emoji19][emoji19] we nae unataka kunikimbizia George
Embu kaa kwa kutulia
Nipe hiyo kazi hutojuta, nakuunga fastaJamani leo katika pita pita zangu katika mtandao wa LinkedIn
Mekutana na mtu anaitwa George n,
Sijui ndo love at first sight sijui ndo Niko mpweke
Nyie nimeview profile ya George jamani am still viewing George's pic, and there's no way naweza mwambia ntaonekana kamalaya basi meishia tu kusave pic ake na kuiangilia
Nyie niitieni George mwambieni he's making me sleepless [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Vipi reception yako(sura na shape in general)? Unafanania kuwa na George? Ungetuma pic yako full tuione na hiyo ya George ili tupime mzani, huenda si level zako.Jamani leo katika pita pita zangu katika mtandao wa LinkedIn
Mekutana na mtu anaitwa George n,
Sijui ndo love at first sight sijui ndo Niko mpweke
Nyie nimeview profile ya George jamani am still viewing George's pic, and there's no way naweza mwambia ntaonekana kamalaya basi meishia tu kusave pic ake na kuiangilia
Nyie niitieni George mwambieni he's making me sleepless [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Jamani leo katika pita pita zangu katika mtandao wa LinkedIn
Mekutana na mtu anaitwa George n,
Sijui ndo love at first sight sijui ndo Niko mpweke
Nyie nimeview profile ya George jamani am still viewing George's pic, and there's no way naweza mwambia ntaonekana kamalaya basi meishia tu kusave pic ake na kuiangilia
Nyie niitieni George mwambieni he's making me sleepless [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Nikijisifia sana ntaharbu lakini nimempima kwa macho tutaendana vzuri tyuVipi reception yako(sura na shape in general)? Unafanania kuwa na George? Ungetuma pic yako full tuione na hiyo ya George ili tupime mzani, huenda si level zako.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa huwezi mpima peke yako, tuma kwa group pic zenu. Huenda ukajiona mzuri ila ukawa si level zake[emoji23][emoji23], ukute jamaa ni level za akina Rihanna, Tunda n.k, na ndio maana nikakuambia tuma pic tuone ili tukusanue!Nikijisifia sana ntaharbu lakini nimempima kwa macho tutaendana vzuri tyu
Madam secretaryJamani leo katika pita pita zangu katika mtandao wa LinkedIn
Mekutana na mtu anaitwa George n,
Sijui ndo love at first sight sijui ndo Niko mpweke
Nyie nimeview profile ya George jamani am still viewing George's pic, and there's no way naweza mwambia ntaonekana kamalaya basi meishia tu kusave pic ake na kuiangilia
Nyie niitieni George mwambieni he's making me sleepless [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Kijana wa hovyo jina lako la upande wa babu sini George??? Changamkia fursa hiyo 😏Jojii umeeleweka
Kama George hapatikani basi si ugawe tu hata kwa vijana wa hapo mtaani kwako? Umewagawia wangapi kabla ya kutaka kumpa George, jiulize hili kwanza.Jamani leo katika pita pita zangu katika mtandao wa LinkedIn
Mekutana na mtu anaitwa George n,
Sijui ndo love at first sight sijui ndo Niko mpweke
Nyie nimeview profile ya George jamani am still viewing George's pic, and there's no way naweza mwambia ntaonekana kamalaya basi meishia tu kusave pic ake na kuiangilia
Nyie niitieni George mwambieni he's making me sleepless [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Hahaha we huoni hilo ni parody la jojii? linajipromote hahahaKijana wa hovyo jina lako la upande wa babu sini George??? Changamkia fursa hiyo [emoji57]
hahahahahaha
The fact that tulikua tukigawaKama George hapatikani basi si ugawe tu hata kwa vijana wa hapo mtaani kwako? Umewagawia wangapi kabla ya kutaka kumpa George, jiulize hili kwanza.
Tabia haina dawa ila naelewa pia kama unachukua likizo ya muda ili umpe George ambaye naye akija gundua tabia yako ya huko nyuma anakuacha solembaThe fact that tulikua tukigawa
Haimaniishi tuendelee kugawa ndio maana tunakua tunajua tulikosea and it's never too late to change
Well saidThe fact that tulikua tukigawa
Haimaniishi tuendelee kugawa ndio maana tunakua tunajua tulikosea and it's never too late to change
Majini mahaba yanataka kukutana Sasa..[emoji23]
Kwamba moyo umesemaDada tuliza moyo ufanye maamuzi mazuri we nenda hovyo mapenzi sio chai dada!,mi sikukatazi ila kuwa makini penye hisia weka na akili.😅
Kwa Mara ya kwanza nungunungu nimetoa ushauri mpk moyo wangu umesema yes..😂
Huo wakoKwamba moyo umesema
"Bora umenitoa mlisi kenge wewe, ilikuwa mimi moyo nizime nikiwa nna majuto kuwekwa mwilini mwako".