Nyie wadada mnaosukana pembeni ya barabara muwe mnabana miguu yenu bodaboda angeniua leo

Nyie wadada mnaosukana pembeni ya barabara muwe mnabana miguu yenu bodaboda angeniua leo

Daaah,pole sana mkuu,huyo bdboda ana ugwadu sna nn?yan paja tu anataka kudodosha abiria,loooh huyo mgeni mjin,hizi zangu si ataua mtu![emoji2956][emoji2956][emoji1787][emoji39]
Weka picha tuone
 
Dereva makini huangalia mbele,kama kuna umuhimu wa yeye kuangalia nyuma,basi hutumia vioo,

Udereva ni fani na inasomewa,kuna tofauti kubwa kati ya "Dereva" wa Pikipiki/Gari na "Muendesha" Pikipiki/Gari.
 
Watu ambao mnataka nipandishe picha ni kuwa sikupiga picha noted:
 
Uwa Na kasirika sana hata Mimi yaani unakuta mdada kaachia japa loote mpaka kadi nyekundu unaiona ,muda mwingine nabaki naduwaa pale naangalia tu yaan sina jinsi,hata hawaelewi kama mapigo yanaenda mpwita nakuwa kama ninakimbizwa,istoshe wananiudhi zaidi wale wanaojidai wasamalia wema eti wanamshtua watu wanaona Mali za shemeji ,
 
Back
Top Bottom