Weka picha tuoneDaaah,pole sana mkuu,huyo bdboda ana ugwadu sna nn?yan paja tu anataka kudodosha abiria,loooh huyo mgeni mjin,hizi zangu si ataua mtu![emoji2956][emoji2956][emoji1787][emoji39]
πππ, Eti ungeumia sikio tu..lolππ
Shukuru huyo bodaboda alikuwa hana akili kama zangu!.. sahivi ungekuwa tumekuandikia RIP halafu mi ningeumia sikio tuπ
OohooThe Boss we ni mmoja wapo wa wale walionifanya nijiunge JF,Barafu,Bak,miss chagga,ushimen,mzigua,miss natafuta,na wengine wengi
Aliwafanyia makusudi huyokuna mmoja juzi alikua anaosha vyombo anaona kabisa tunamuangalia ila hana habari,aibu tuliiona sisi
siasa mbaya sana je?The Boss we ni mmoja wapo wa wale walionifanya nijiunge JF,Barafu,Bak,miss chagga,ushimen,mzigua,miss natafuta,na wengine wengi
Mshana junior,manengelo,Moii,nisiwe mwongo,siasa mbaya sana je?
Pm yako iko wazi nataka kuja kukusalimu HabibtyMshana junior,manengelo,Moii,nisiwe mwongo,
Mkuu ila ujumbe umeupokea na kuuelewa?? π πPole sana
Wew ni shidaqqaThe Boss we ni mmoja wapo wa wale walionifanya nijiunge JF,Barafu,Bak,miss chagga,ushimen,mzigua,miss natafuta,na wengine wengi
Bora apofuke ila asilaanike. Unachungulia watu wakiwa uchiUwe unafumba macho utapofuka!