Hornet
JF-Expert Member
- Apr 29, 2013
- 26,486
- 51,156
Ni kweli, ila mnatutesa sana; kwa nini msitupatie, ila linapokuja suala la mahusiano unakuwa muwazi tu.
Yaani nimfungulie shetani mpango Halafu baadae nianze kumkimbiza, hahahaa hapana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kweli, ila mnatutesa sana; kwa nini msitupatie, ila linapokuja suala la mahusiano unakuwa muwazi tu.
Unaweza ukajinyima fursa hivi hiviYaani nimfungulie shetani mpango Halafu baadae nianze kumkimbiza, hahahaa hapana
🤣 Au namba ya gariHiyo ni ya central
Ila nilishaipata ya kwako, nikikupigia usini-block🤣 Au namba ya gari
Nifundishe namna ya kuongea nao vizuri, ili nisiteseke na namba za simuPole sana...
Ongea na watu vizuri... Number za simu hata siyo issue kubwa kupewa...
Mwaka wa ngapi huu, unaifuatilia?Mimi naitafuta ya Victoire!
Sijamaliza mwaka mkuu! Huu no mwezi wa 7 sasa!Mwaka wa ngapi huu, unaifuatilia?
Ngoja waje kukupa muongozo...Nifundishe namna ya kuongea nao vizuri, ili nisiteseke na namba za simu
Sawa nausubiri huo muongozoNgoja waje kukupa muongozo...
Angalia usimalize soli ya kiatu mpaka ikaenda upande, kwa ajili ya kufukuzia nambaSijamaliza mwaka mkuu! Huu no mwezi wa 7 sasa!
Wee acha tu mkuu ni hatari sana! Na hivi vitoto vikishajua kwamba vyenyewe ni pisi kali huwa vinaringa, lakini mwaka huu mpaka kieleweke! Nitakujulisha mkuu kakishanitumia!😁😁😁😁Angalia usimalize soli ya kiatu mpaka ikaenda upande, kwa ajili ya kufukuzia namba
Inabidi uende kwenye maombi, ukakanyage mafutaWee acha tu mkuu ni hatari sana! Na hivi vitoto vikishajua kwamba vyenyewe ni pisi kali huwa vinaringa, lakini mwaka huu mpaka kieleweke! Nitakujulisha mkuu kakishanitumia!😁😁😁😁
Sana asee teknolojia imerahisisha sana, kuna mmoja nilisoma naye A-level alinipa namba yake ya simu miaka kama 4 iliyopita tulipokutana mahali kila mtu akiwa kwenye mishe zake.Teknolojia imerahisisha mambo