Nyie wadada, tupatieni namba zenu za simu

Nyie wadada, tupatieni namba zenu za simu

Pole sana...

Ongea na watu vizuri... Number za simu hata siyo issue kubwa kupewa...
 
I let my watch talk for me, my whip talk for me
My gat talk for me, blow, what up, homie?
My watch saying “Hi shorty, we can be friends”
My whip saying “Quit playing, b!t<h, get in”
My earring saying “We can hit the mall together”
Shorty, it’s only right that we ball together.
 
Angalia usimalize soli ya kiatu mpaka ikaenda upande, kwa ajili ya kufukuzia namba
Wee acha tu mkuu ni hatari sana! Na hivi vitoto vikishajua kwamba vyenyewe ni pisi kali huwa vinaringa, lakini mwaka huu mpaka kieleweke! Nitakujulisha mkuu kakishanitumia!😁😁😁😁
 
Wee acha tu mkuu ni hatari sana! Na hivi vitoto vikishajua kwamba vyenyewe ni pisi kali huwa vinaringa, lakini mwaka huu mpaka kieleweke! Nitakujulisha mkuu kakishanitumia!😁😁😁😁
Inabidi uende kwenye maombi, ukakanyage mafuta
 
Nilitegemea zoezi la ugawaji namba likiendelea humu…

Na mimi nataka namba za simu mkishindwa hata za bank ac wekeni😅
 
Teknolojia imerahisisha mambo
Sana asee teknolojia imerahisisha sana, kuna mmoja nilisoma naye A-level alinipa namba yake ya simu miaka kama 4 iliyopita tulipokutana mahali kila mtu akiwa kwenye mishe zake.

Ile shauku na nini tukapeana namba

Mwaka huu kwenye kupitiapitia phonebook yangu nikaiona namba yake nikasema ngoja nijaribu kumtongoza, baada ya mitongozo ya hapa na pale mtoto kajaa.

Tushakula bata na outing mbili tatu so far na rungu nishazuuza

Saivi kakolea anataka nimuoe na muhuni ndoa huwa sizielewi kabisa
 
Back
Top Bottom