Mjina Mrefu
JF-Expert Member
- Dec 6, 2016
- 3,045
- 3,389
Naamini kila mtu yupo sawia kabisa kama wine nyekundu.
Hapa jukwaani, imewahi kuzuka mijadala mingi mno kuhusu wanaume wa Dar na wa mikoani. Tumetupiana sana vijembe na dharau.
Wanaume wa Dar wanajinadi wao ndo bora zaidi na wanaume wa mikoani wanajinadi kwa upande wao ndo bora zaidi.
Mjadala huu haukuwahi kufika hitimisho maana, alikosekana judge wa kufanya maamuzi. Kwa kawaida, mtu huwezi kuji-judge mwenyewe.
Leo nataka wadada wa humu mtoe hitimisho, je, mnapenda wanaume wapi kati ya wa dar au wa mikoani?
Watakaoonekana wanapendwa zaid ndo bora.
Kwa upande wangu mm ni mwanamume wa dar na ninapendwa sana na kipenzi changu Hajar.
Ninatumai kuwa wadada mtakua honest ktk hili. Hajar nawe uwe honest km wanipenda kweli au kuna mwingine wa mikoani unaemtamani
Hapa jukwaani, imewahi kuzuka mijadala mingi mno kuhusu wanaume wa Dar na wa mikoani. Tumetupiana sana vijembe na dharau.
Wanaume wa Dar wanajinadi wao ndo bora zaidi na wanaume wa mikoani wanajinadi kwa upande wao ndo bora zaidi.
Mjadala huu haukuwahi kufika hitimisho maana, alikosekana judge wa kufanya maamuzi. Kwa kawaida, mtu huwezi kuji-judge mwenyewe.
Leo nataka wadada wa humu mtoe hitimisho, je, mnapenda wanaume wapi kati ya wa dar au wa mikoani?
Watakaoonekana wanapendwa zaid ndo bora.
Kwa upande wangu mm ni mwanamume wa dar na ninapendwa sana na kipenzi changu Hajar.
Ninatumai kuwa wadada mtakua honest ktk hili. Hajar nawe uwe honest km wanipenda kweli au kuna mwingine wa mikoani unaemtamani