Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
Katisha sanaNa mchemsho wa kuku
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Katisha sanaNa mchemsho wa kuku
Mpaka hapo ni mgonjwa ila yeye analaumu wahudumuMkuu una hoja usikilizwe
Mpaka hapo ni mgonjwa ila yeye analaumu wahudumuMkuu una hoja usikilizwe
Kwakweli😂Uhuru umepitiliza,
Bora Katiba mpya ije [emoji1]
Uhuru umepitiliza,
Bora Katiba mpya ije [emoji1]
Sasa kwa haya wasikushangae?Wajinga kabisa!
Leo nawachana.
Weekend ya J2 ambayo ni jana nilikwenda restaurant karibu na pale TipTop night club. Huduma zenu ni nzuri ila wahudumu wenu wanaharibu.
Niliagiza energy zangu nne za Mo. Kwa kuwa hawawekagi muziki nilibeba radio yangu nikawa nasikiliza amapino,ni zile radio zenye bass.
Nikapiga chap energy nne kwa kuwa nilikuwa na kiu. Kukata jicho pembeni wananishangaa nikawatukana moyoni. Nilichukia sana
Hivi wahudumu wa Bongo mbona majinga hivi??!
Nikaagiza chakula na nikaagiza wali( sahani ni 2500) nikawaambia walete sahani nne separately, nikachanganya sahani mbili mbili na kuipiga misosi taratiiibu na energy nyingine niliyoagiza.
Nikaagiza energy moja na utumbo wa kuku nikawa nakula pamoja na half cake 5.
Chanji wamenisubirisha nusu saa nzima.
Kuja bill nikalipa safi tu nikatembea zangu kuelekea Lambo.
Na siyo kusema mimi ni mgeni pale ila ni ujinga ujinga wao tu. Kila nikienda si enjoy kula kwa raha.
Sirudi tena. Mtu unashindwa hata kula kwa raha bhana. Naona wanaleta mazoea
Next time nitawataja live msipojirekebisha. Kwanza chakula chenyewe mnapunja basi tu
Hela ni yangu na natafuta kwa shida! Hivyo kuweni wastaarabu kwenye starehe za watu.
Utakuwa na minyoo sugu ww CYO bure,ule vyakula vyote ivyo hataka ndo hela umetafuta hapana umezidiWajinga kabisa!
Leo nawachana.
Weekend ya J2 ambayo ni jana nilikwenda restaurant karibu na pale TipTop night club. Huduma zenu ni nzuri ila wahudumu wenu wanaharibu.
Niliagiza energy zangu nne za Mo. Kwa kuwa hawawekagi muziki nilibeba radio yangu nikawa nasikiliza amapino,ni zile radio zenye bass.
Nikapiga chap energy nne kwa kuwa nilikuwa na kiu. Kukata jicho pembeni wananishangaa nikawatukana moyoni. Nilichukia sana
Hivi wahudumu wa Bongo mbona majinga hivi??!
Nikaagiza chakula na nikaagiza wali( sahani ni 2500) nikawaambia walete sahani nne separately, nikachanganya sahani mbili mbili na kuipiga misosi taratiiibu na energy nyingine niliyoagiza.
Nikaagiza energy moja na utumbo wa kuku nikawa nakula pamoja na half cake 5.
Chanji wamenisubirisha nusu saa nzima.
Kuja bill nikalipa safi tu nikatembea zangu kuelekea Lambo.
Na siyo kusema mimi ni mgeni pale ila ni ujinga ujinga wao tu. Kila nikienda si enjoy kula kwa raha.
Sirudi tena. Mtu unashindwa hata kula kwa raha bhana. Naona wanaleta mazoea
Next time nitawataja live msipojirekebisha. Kwanza chakula chenyewe mnapunja basi tu
Hela ni yangu na natafuta kwa shida! Hivyo kuweni wastaarabu kwenye starehe zawatu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mbona ni kawaida hiyo mkuuu [emoji848][emoji848] kuna vidume vinakula ww acha kabisaUt
Utakuwa na minyoo sugu ww CYO bure,ule vyakula vyote ivyo hataka ndo hela umetafuta hapana umezidi
Uwe unawakaribisha chakula, unategemea wakale wapi?Wajinga kabisa!
Leo nawachana.
Weekend ya J2 ambayo ni jana nilikwenda restaurant karibu na pale TipTop night club. Huduma zenu ni nzuri ila wahudumu wenu wanaharibu.
Niliagiza energy zangu nne za Mo. Kwa kuwa hawawekagi muziki nilibeba radio yangu nikawa nasikiliza amapino,ni zile radio zenye bass.
Nikapiga chap energy nne kwa kuwa nilikuwa na kiu. Kukata jicho pembeni wananishangaa nikawatukana moyoni. Nilichukia sana
Hivi wahudumu wa Bongo mbona majinga hivi??!
Nikaagiza chakula na nikaagiza wali( sahani ni 2500) nikawaambia walete sahani nne separately, nikachanganya sahani mbili mbili na kuipiga misosi taratiiibu na energy nyingine niliyoagiza.
Nikaagiza energy moja na utumbo wa kuku nikawa nakula pamoja na half cake 5.
Chanji wamenisubirisha nusu saa nzima.
Kuja bill nikalipa safi tu nikatembea zangu kuelekea Lambo.
Na siyo kusema mimi ni mgeni pale ila ni ujinga ujinga wao tu. Kila nikienda si enjoy kula kwa raha.
Sirudi tena. Mtu unashindwa hata kula ,unategkwa raha bhana. Naona wanaleta mazoea
Next time nitawataja live msipojirekebisha. Kwanza chakula chenyewe mnapunja basi tu
Hela ni yangu na natafuta kwa shida! Hivyo kuweni wastaarabu kwenye starehe za watu.
Vijana wa namna hiyo wanamchango mdogo sana kwa taifaIla hii nchi🙆🙆🙆
Huyu hapaMkuu una hoja usikilizwe
Hapo ndo nilipostuka😂😂😂 eneji 5
Wali sahani 4 plus half cake 😂
Usipende kunifatilia,Uhuru mkubwa hadi wa kutafuta surrogate fathers
Hebu jiheshimuni nyie. Mbona mnakuwa mawaki nyie? Watu wazima nyie atiiUsipende kunifatilia,
Bichwa kama siafu.