Nyie wadada wa pub acheni ushamba na kushangaa shangaa hovyo

Sasa kwa haya wasikushangae?
 
Ut
Utakuwa na minyoo sugu ww CYO bure,ule vyakula vyote ivyo hataka ndo hela umetafuta hapana umezidi
 
Ut

Utakuwa na minyoo sugu ww CYO bure,ule vyakula vyote ivyo hataka ndo hela umetafuta hapana umezidi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mbona ni kawaida hiyo mkuuu [emoji848][emoji848] kuna vidume vinakula ww acha kabisa
 
Uwe unawakaribisha chakula, unategemea wakale wapi?
 
Mheshimiwa prezidaa fungua ajira ona vijana wanavyo rukwa akili...
 
[emoji1][emoji1][emoji1] nisje enda na mimi wakanishangaa nikila sahani kumi
 
Msimshangae huyo Kuna mwamba Mbarali alikula Shina Moja la miwa peke yake akakutwa na mwenye shamba, mpaka mwenye shamba akatangaza kijijini kwamba heri nguruwe avamie shamba la miwa kuliko huyo mwamba.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…