Nyie wadada wa pub acheni ushamba na kushangaa shangaa hovyo

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mbona ni kawaida hiyo mkuuu [emoji848][emoji848] kuna vidume vinakula ww acha kabisa
Mmmh ndio Kula gani huko,sahani za wali 4 πŸ™†πŸ™†πŸ™†, energy 5😲😲😲, half cake,sijui na makorokoro gan huku....huyo aende hospital tu hio minyoo itakuwa vikongwe haswaaa,na Kula kote hajashiba πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™Œ analalamika tu 🀦🀦🀦
 
Walichokua wanakushangaa ni kunywa energy nne wakati kinywaji hicho kina kiwango chake maana siyo Cha kunywa tu kama maji, utakuja kufa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…