Mwanga Lutila
JF-Expert Member
- Nov 10, 2016
- 4,208
- 14,143
Maana kila anayetafuta kigezo kikubwa digrii
Sasa unajiuliza digrii ya nini hapo kwenye ndoa?
Halafu mtu tayali jua limezama (umri umeenda) unaweka vigezo viingiii vya nini?
Wewe mwenyewe vigezo vya kuolewa vimeshapungua...halafu unataka vigezo ambayo baba hana..
Msitufanyie hivyo..
Hili limeniumiza sana.
Sasa unajiuliza digrii ya nini hapo kwenye ndoa?
Halafu mtu tayali jua limezama (umri umeenda) unaweka vigezo viingiii vya nini?
Wewe mwenyewe vigezo vya kuolewa vimeshapungua...halafu unataka vigezo ambayo baba hana..
Msitufanyie hivyo..
Hili limeniumiza sana.