Nyie wamama mnaotafuta wababa, hivi digrii ya nini kwenye mahusiano?

Nyie wamama mnaotafuta wababa, hivi digrii ya nini kwenye mahusiano?

Uelewa wa maisha
Kwanini Ndoa nyingi Sasa zinazovunjika ndo hizi hizi za Degree holders ?.

Education is quiet different from Intelligence.

Maisha ya mwanadamu Kwa aina zote yawe ya Ndoa, Mahusiano, Uchumi ,Kijamii n.k yanahitaji zaidi Intelligence sio Education Kwa sababu Elimu aipatayi MTU humpa UKOMO.

Namna gani unaface Maisha ndio intelligence yenyewe.

Omba sana upate Mwanaume anayetambua Nafasi yake kwako kama Mume na Baba .
 
Wanawake ni viumbe vya hesabu la mbali sana hasa linapokuja swala la mwenza na mtu wakuzaa naye.

Hiyo digrii sio kwa faida yake yeye bali hao watoto mtakaozaa

Sisi tunaangalia misambwanda tunaacha kuangalia vitu vitakavyowafaidisha watoto tutakaozaa.

Mwanamke atasema anataka mwanaume mrefu, ukimuuliza vizuri utagundua anataka mwanaume mrefu ili asizae watoto wafupi.

Mwanaume akisema anataka mwanamke mwenye msambwanda, huo ni kwaajili ya burudani zake mwenyewe.

Vigezo vingi wanavyoweka wanawake ni kwaajili ya watoto wao, ila sisi wanaume vigezo vingi tunavyoweka ni kwaajili yetu binafsi.
Kumbe wanaume wenye akili bado mpo jf!!!!!
 
Back
Top Bottom