Mara nipo napokea simu eti baby mambo, nikajibu powa , eti Leo sikuku hunitoi out? Nikauliza sikukuu gani, akajibu kwa kujiamini SIKUKUU YA KUPATWA KWA JUA.
UNAZEEKA VIBAYA BABY JAMAN KWAHIYO HUJUI LEO SIKUKUU
Sana Tu usawa wenyewe huu utashangaa siku ya birthday yako hata kukununulia shati ya 20,000 hawez anaishia kukuweka DP whatsapp aisee ni wachache sana wanaojitambua
Hapa umelonga,kidume unajipinda kila mkikutana na ki-bag kuna viatu ,lingeries na sijui nn.yeye hata saa ya kandambili za chooni hawezi kukunulia.
Pumbaaavuu.kweli huku ni kupatwa kwa wanaume
Hapa umelonga,kidume unajipinda kila mkikutana na ki-bag kuna viatu ,lingeries na sijui nn.yeye hata saa ya kandambili za chooni hawezi kukunulia.
Pumbaaavuu.kweli huku ni kupatwa kwa wanaume