Nyie wasomi hebu jaribuni kuwaza nje ya box,tumechoka vizinga vyenu

Nyie wasomi hebu jaribuni kuwaza nje ya box,tumechoka vizinga vyenu

Makonde plateu

JF-Expert Member
Joined
Nov 19, 2022
Posts
1,443
Reaction score
3,480
Yaani just imagine mie darasa la saba B nasumbuliwa na hii mijitu inayojiita wasomi kila kila leo wakinipiga mizinga ya pesa mara Shangazi amemeza kiti,mara mke wangu anataka Dela aisee chefuu inakera sana! Sasa nasema hivi nyie wasomi acheni kunisumbua dadeki nyie si mnahisi kusoma ni mafanikio? Idiot

Yaani kutwa kunisumbua kwenye email yangu mnaomba msaada wa kipesa na mkome eti mara proposal za research zenu hizo! Ulofa na ujinga halafu hamna hela au mia mbovu.

Binafsi mie sie msomi mimi kwenda London ni kama vile naenda Ilala tu Sasa utamkuta msomi hata nauli ya kwenda nanjilinji au huko kwenu maganzo mnakopa tu kwenye mabenki nyie wasomi mkae mtafakari msipoangalia utagongewa wake zenu! Ulofa huo
 
Dear La7 B, Pambana na dhiki za ndugu zako. Usigeneralize wasomi.
 
We msenfe kweli mtu ana diploma au ki degree kimoja unamuita msomi sema profesa gani kaja kukuomba ww kapuku hao ndo wasomi ss mtu ana diploma ya utalii kakosa ajira kakuomba msaada kdg ndo uje kusema wasomi wanakuomba hela acha usenge
 
Hao sio wasomi mkuu niamini,msomi ni yule anayeweza kutatua changamoto akianzia na zake mwenyewe kwa kutumia taaluma yake.Usitujumuishe wasomi kwenye changamoto za ndugu zako mkuu.
 
Yaani just imagine mie darasa la saba B nasumbuliwa na hii mijitu inayojiita wasomi kila kila leo wakinipiga mizinga ya pesa mara Shangazi amemeza kiti,mara mke wangu anataka Dela aisee chefuu inakera sana! Sasa nasema hivi nyie wasomi acheni kunisumbua dadeki nyie si mnahisi kusoma ni mafanikio? Idiot

Yaani kutwa kunisumbua kwenye email yangu mnaomba msaada wa kipesa na mkome eti mara proposal za research zenu hizo! Ulofa na ujinga halafu hamna hela au mia mbovu.

Binafsi mie sie msomi mimi kwenda London ni kama vile naenda Ilala tu Sasa utamkuta msomi hata nauli ya kwenda nanjilinji au huko kwenu maganzo mnakopa tu kwenye mabenki nyie wasomi mkae mtafakari msipoangalia utagongewa wake zenu! Ulofa huo
Huko Nanjilinji inaonekana kuna wachawi sana..
 
Back
Top Bottom