Nyie watu wa dar sasa hapa cha ajabu ni kitu gan? Au ni ushamba wenu tu



Hahha hahah h watu wa Dar wanatembea na Atm cards ama dollar kwa mifuko hawapendi kubemba mafurushi kama wakimbizi!
 
Vijana wa kushindi chipsi hawana ishu kabisa
 
Utasikia "Ong'wene oyo sagala gete".


ahahahaha nyatumbafu yeneye !hehehee ! nataman niishi mwanza kwa mwaka mzima hv aisee niwe nacheka mie !maana ht kwenye bus wanatukana tu dah huwa nachoka mno ! mara nyanoko,mara tomb.. uwii
 
ahahahaha nyatumbafu yeneye !hehehee ! nataman niishi mwanza kwa mwaka mzima hv aisee niwe nacheka mie !maana ht kwenye bus wanatukana tu dah huwa nachoka mno ! mara nyanoko,mara tomb.. uwii
Aaaaa wewe jaman nyanoko na tomb tena
 
Wamekushangaa kwanini ktk karne na teknolojia hizi unatembea na cash money kiwango hicho?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…