Nyie watu wa Mikoani Mkija Dar mnatuchosha sisi Tupo Busy sana

Nyie watu wa Mikoani Mkija Dar mnatuchosha sisi Tupo Busy sana

Chizi Maarifa

JF-Expert Member
Joined
Jul 29, 2013
Posts
10,931
Reaction score
24,816
Mtu anakuja na list ya maeneo yote ambayo ameyasikia sikia. Ameandika anataka akifika ukamtembeze list yake unakuta
1. Beach Kidimbwi
2. The Great
3. Daraja la Ubungo
4. Daraja la Kigamboni
5. Daraja la Manzese
6. Daraja la Coco/Tanzanite
7. Beaches zote za Kigamboni

Etc. Halafu shida akienda huko akamwona msanii basi inakuwa nongwa utasikia.
"Heeeeeh mzee mwogo mchungu ndo huyu kumbee...twende nikamsalimie"

"Ooohh.. mwone fid q, mwone.... Anakuja huku"

" Heeeeh huyu ndo Makala....namwona sana kwenye TV atakubali nikimwomba kupiga naye picha?"

Mna bore sana. Mnataka mkatembezwe Madale, Kigamboni na mnataka Bar zote za Tabata, Sinza, Kijitonyama mpelekwe.

Sisi tupo busy bwana huo muda tunatoa wapi? Tunasaka Ndalama tu. Na kuspend ni weekend tena kwa mipango. Siyo mnataka kutuganda tuwatembeze muwe mnapiga picha kila sehemu. Huo udwanzi hatutaki kaeni kwenu nasi tutakaa kwetu.

Tukija Mikoani ni ninyi mnapenda kututembeza kutuonesha kwa mademu zenu na washkaji wenu mpaka sometimes tunachoka utambulisho wenu wa kifala

" Huyu jamaa yangu sana anaitwa Big Man anaishi Madale na Daimondi"

" Huyu ndo mchizi wangu nlikwambia ana mkula Uwoya na ameshapita kwa wema na kajala.... Anawatafuna sana mjini huko"

Sasa hapo mimi nisemeje? Kila mtu akae kwake kama vipi. Siyo mnakuja kulalamika eti mkija tunawakwepa. Ndiyo mna bore sana na swaga zenu za bush za kujiita majina ya kipuuzi mara Ommy D. Mara Check Nigger.. huo ujinga mi sitaki.
 
Mtu anakuja na list ya maeneo yote ambayo ameyasikia sikia. Ameandika anataka akifika ukamtembeze list yake unakuta
1. Beach Kidimbwi
2. The Great
3. Daraja la Ubungo
4. Daraja la Kigamboni
5. Daraja la Manzese
6. Daraja la Coco/Tanzanite
7. Beaches zote za Kigamboni

Etc. Halafu shida akienda huko akamwona msanii basi inakuwa nongwa utasikia.
"Heeeeeh mzee mwogo mchungu ndo huyu kumbee...twende nikamsalimie"

"Ooohh.. mwone fid q, mwone.... Anakuja huku"

" Heeeeh huyu ndo Makala....namwona sana kwenye TV atakubali nikimwomba kupiga naye picha?"

Mna bore sana. Mnataka mkatembezwe Madale, Kigamboni na mnataka Bar zote za Tabata, Sinza, Kijitonyama mpelekwe.

Sisi tupo busy bwana huo muda tunatoa wapi? Tunasaka Ndalama tu. Na kuspend ni weekend tena kwa mipango. Siyo mnataka kutuganda tuwatembeze muwe mnapiga picha kila sehemu. Huo udwanzi hatutaki kaeni kwenu nasi tutakaa kwetu.

Tukija Mikoani ni ninyi mnapenda kututembeza kutuonesha kwa mademu zenu na washkaji wenu mpaka sometimes tunachoka utambulisho wenu wa kifala

" Huyu jamaa yangu sana anaitwa Big Man anaishi Madale na Daimondi"

" Huyu ndo mchizi wangu nlikwambia ana mkula Uwoya na ameshapita kwa wema na kajala.... Anawatafuna sana mjini huko"

Sasa hapo mimi nisemeje? Kila mtu akae kwake kama vipi. Siyo mnakuja kulalamika eti mkija tunawakwepa. Ndiyo mna bore sana na swaga zenu za bush za kujiita majina ya kipuuzi mara Ommy D. Mara Check Nigger.. huo ujinga mi sitaki.
Siyo bure wewe lazima utakuwa CHAWA wa Diamond!!
 
Mtu anakuja na list ya maeneo yote ambayo ameyasikia sikia. Ameandika anataka akifika ukamtembeze list yake unakuta
1. Beach Kidimbwi
2. The Great
3. Daraja la Ubungo
4. Daraja la Kigamboni
5. Daraja la Manzese
6. Daraja la Coco/Tanzanite
7. Beaches zote za Kigamboni

Etc. Halafu shida akienda huko akamwona msanii basi inakuwa nongwa utasikia.
"Heeeeeh mzee mwogo mchungu ndo huyu kumbee...twende nikamsalimie"

"Ooohh.. mwone fid q, mwone.... Anakuja huku"

" Heeeeh huyu ndo Makala....namwona sana kwenye TV atakubali nikimwomba kupiga naye picha?"

Mna bore sana. Mnataka mkatembezwe Madale, Kigamboni na mnataka Bar zote za Tabata, Sinza, Kijitonyama mpelekwe.

Sisi tupo busy bwana huo muda tunatoa wapi? Tunasaka Ndalama tu. Na kuspend ni weekend tena kwa mipango. Siyo mnataka kutuganda tuwatembeze muwe mnapiga picha kila sehemu. Huo udwanzi hatutaki kaeni kwenu nasi tutakaa kwetu.

Tukija Mikoani ni ninyi mnapenda kututembeza kutuonesha kwa mademu zenu na washkaji wenu mpaka sometimes tunachoka utambulisho wenu wa kifala

" Huyu jamaa yangu sana anaitwa Big Man anaishi Madale na Daimondi"

" Huyu ndo mchizi wangu nlikwambia ana mkula Uwoya na ameshapita kwa wema na kajala.... Anawatafuna sana mjini huko"

Sasa hapo mimi nisemeje? Kila mtu akae kwake kama vipi. Siyo mnakuja kulalamika eti mkija tunawakwepa. Ndiyo mna bore sana na swaga zenu za bush za kujiita majina ya kipuuzi mara Ommy D. Mara Check Nigger.. huo ujinga mi sitaki.
Nyie si ndo huja kijijini kwa gari la magazeti, mnataka kulishwa na nauli ya kurudi Dar mpewe!!

Ntu mzima anajisifia amekaa Dar miaka 30 lakini akienda kwao hata zawadi ya buku kuwapa wazazi anashindwa na nauli ya kurudi alikotoka anataka apewe.
 
Mtu anakuja na list ya maeneo yote ambayo ameyasikia sikia. Ameandika anataka akifika ukamtembeze list yake unakuta
1. Beach Kidimbwi
2. The Great
3. Daraja la Ubungo
4. Daraja la Kigamboni
5. Daraja la Manzese
6. Daraja la Coco/Tanzanite
7. Beaches zote za Kigamboni

Etc. Halafu shida akienda huko akamwona msanii basi inakuwa nongwa utasikia.
"Heeeeeh mzee mwogo mchungu ndo huyu kumbee...twende nikamsalimie"

"Ooohh.. mwone fid q, mwone.... Anakuja huku"

" Heeeeh huyu ndo Makala....namwona sana kwenye TV atakubali nikimwomba kupiga naye picha?"

Mna bore sana. Mnataka mkatembezwe Madale, Kigamboni na mnataka Bar zote za Tabata, Sinza, Kijitonyama mpelekwe.

Sisi tupo busy bwana huo muda tunatoa wapi? Tunasaka Ndalama tu. Na kuspend ni weekend tena kwa mipango. Siyo mnataka kutuganda tuwatembeze muwe mnapiga picha kila sehemu. Huo udwanzi hatutaki kaeni kwenu nasi tutakaa kwetu.

Tukija Mikoani ni ninyi mnapenda kututembeza kutuonesha kwa mademu zenu na washkaji wenu mpaka sometimes tunachoka utambulisho wenu wa kifala

" Huyu jamaa yangu sana anaitwa Big Man anaishi Madale na Daimondi"

" Huyu ndo mchizi wangu nlikwambia ana mkula Uwoya na ameshapita kwa wema na kajala.... Anawatafuna sana mjini huko"

Sasa hapo mimi nisemeje? Kila mtu akae kwake kama vipi. Siyo mnakuja kulalamika eti mkija tunawakwepa. Ndiyo mna bore sana na swaga zenu za bush za kujiita majina ya kipuuzi mara Ommy D. Mara Check Nigger.. huo ujinga mi sitaki.
Watu daslama wachoyo sana,mnatunyanyasa na hatutokuja huko maana hata sisi huku madongo kuinama tuna enjoy,tuna pisi kali nyeupe,Zina wowo,zinanukia na wala hamuwezi kufananisha na hao wa sinza sijui wapi sijui wa uswahilini huko tandale,kwa mama kibonge

Sehemu za starehe za mbege bei mbaya zipo Zina vibe kama la Yohana mtembezi, Hennessy
 
Afu watu wa dar wengi wakienda mikoan wanashobokewa sana wanaleta vijora vya 5000 na mikate mikoani km zawadi wanaondoka na migunia ya mpunga
 
Kweli washamba wengi,sasa daraja la manzese,mara Beach,kwaninj unashobokea dear mbona pabaya sana
 
Tatizo huna pesa,acha uchoyo,tatizo unaishi mbagala unaona aibu kudandia gari dirishani utamtia aibu mgeni wako
 
Back
Top Bottom