Nyie watu wa Mikoani Mkija Dar mnatuchosha sisi Tupo Busy sana

Mko wangapi? Hatutaki, tuko busy nk
 
The Great ndo nini au The Great Wall of China, kwani upo hapa nchini kweli
 
duh! nyie wa dar mkija kijijini mnaleta mapumbu tu mnataka kula kula tu! mnapoondoka mnataka tuwafungashie viazi,magimbi,mchele ,mihogo yakupikamo!mnakuja kutufilisi mnanuka njaa ,***** zenu
Kwa hiyo hata wanawake wanakuja na ulichosema. Mimi sijazoea kusema matusi.
 
Tafuta pesa kijana uachane na marafiki wakimaskini ambao wakija wanataka muende maeneo ya kimaskini ambako mnakutana na masikini wenzenu wanajiita wana hela maana exposure yao bado ndogo wanafikilia kustarehe ni kukaa zenge kelele na watu wengi bar ambazo wadada wanacheza juu ya meza

Ukipata pesa utajua nilichoandika hapa
 
Mishikaki ya nyama ya mbwa mnayokula na minyama mingine isiyojulikana humo dar imewaharibu vichwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…