BABA SANIAH
JF-Expert Member
- Oct 20, 2013
- 4,606
- 5,922
aisee nyie wauza maziwa mnazingua sana,sometime mtu umeamua kwenda kupata maziwa ili uboreshe afya unakuta mmejaza maji mpaka ladha inapotea.ndo vyuma vimekaza au,na sisi wanywaji ia mambo si mambo atii
mmasai aliekamua kwa mifugo yake kaweka maji
wewe shekimweri nawe unaweka maji
mteja akinywa paleale yanakuwa yameshawekwa maji
mteja akipeleka home kaamua siku hiyo na familia iige tea ziwa nae anaweka maji,kwa kuwa familia basi yatoshe,
angalia sasa
masai kaweka maji baada ya kukamua
shekimweri nae kanunua kwa masai anatuuzia kwenye kibanda kaweka maji
baba jamillah nae kanunua kwa shekimweri iili kina jamillah wakanywe tea ziwa anampa mama jamillah nae anaweka maji,sasa tunakunywa maziwa au harufu na rangi ya maziwa.
acheni hizo aisee mnatuzingua kwa sana
mmasai aliekamua kwa mifugo yake kaweka maji
wewe shekimweri nawe unaweka maji
mteja akinywa paleale yanakuwa yameshawekwa maji
mteja akipeleka home kaamua siku hiyo na familia iige tea ziwa nae anaweka maji,kwa kuwa familia basi yatoshe,
angalia sasa
masai kaweka maji baada ya kukamua
shekimweri nae kanunua kwa masai anatuuzia kwenye kibanda kaweka maji
baba jamillah nae kanunua kwa shekimweri iili kina jamillah wakanywe tea ziwa anampa mama jamillah nae anaweka maji,sasa tunakunywa maziwa au harufu na rangi ya maziwa.
acheni hizo aisee mnatuzingua kwa sana