Hii timu ni ya majungu, umbea na propaganda nyingi. Huwezi kushinda mechi za kimataifa kisa wachambuzi wamekusifu.
Huwezi shinda kwa sababu haya ni mashindano ya kweli, achana na hapa ndani mmebakiza kuhonga waamuzi, na kununua wachambuzi ili wawasifie kama vile kweli mko vizuri.
Siyo vibaya mkijifunza kwa jirani.
Huwezi shinda kwa sababu haya ni mashindano ya kweli, achana na hapa ndani mmebakiza kuhonga waamuzi, na kununua wachambuzi ili wawasifie kama vile kweli mko vizuri.
Siyo vibaya mkijifunza kwa jirani.