ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 21,643
- 51,642
- Thread starter
-
- #21
Tatizo chenga nyingi.ukiona goli usichenge piga ma shoot waya..shauri yako chelewa chelewa utakuja kuta hata bahati mbaya hujaacha ka kid Cha kuzugiawatoto wangu 7 bado wapo kwenye bao la ushindi
Andika Mungu akikujalia wawe wangapi.Tusio na watoto tunasoma tu comments[emoji4]
Nasi tuombe M/Mungu aturuzuku vizazi!!Tusio na watoto tunasoma tu comments[emoji4]
Fanya kama umesahau basi jifanye ndio leo tunaonanaHapahapa kama ungekuwa umeipenda hii mbegu tokea 2014 tungekuwa na watt hata 3 nw
Sent using Jamii Forums mobile app
Eti jamani alikuwa ameweka kimdoli mi ningejuaje[emoji12][emoji12]
Wawili tu wanatosha MunguAndika Mungu akikujalia wawe wangapi.
AmenNasi tuombe M/Mungu aturuzuku vizazi!!
Mwambie mdogo wangu aache uzembeSawa mama ngoja tukafanye na hiki kibaridi[emoji23][emoji2088]