mtwa mkulu
JF-Expert Member
- Sep 11, 2013
- 8,586
- 11,227
Hiyo Namba 6 daah πππππππ1. Malaika nakupenda malaika
2. Rangi ya chungwa
3. Roho 7 nakupenda hip hop
4. Sauti ya Manka ya Gk
5. Kamanda
6. CCM mbele kwa mbele
Au uongo ndugu zangu
Goma kali la wakati woteHiyo Namba 6 daah πππππππ
πππππππππ Daaah hovyo Kabisa hiiGoma kali la wakati wote
Mbona halichuji sema tuu halipenyi kwenye tuzo za Gramyπππππππππ Daaah hovyo Kabisa hii
mtwa mkulu acha bana ππππππππππMbona halichuji sema tuu halipenyi kwenye tuzo za Gramy
Christian Bella _ yako wapi mapenzi, ile time ya lunch ndio tulizoea kusikia hizi nyimboNyie vipi mnaisahau vipi
Yapo wapi Mapenzi ya Christian Bella & co?
Mnajisahaulisha weeee
Hidaya na Soo ya Pasha eeh
Wapi Macmuga na Mapenzi ya run Dunia ya Yooooooo!
List ni ndefu shabhashhhh!
Umetishaaa kk[emoji91][emoji91][emoji91]Gheto langu -Ngwea
Kimya kimya-Jay moe
Latifa-Mb Dog
Mapenzi yana run dunia-Alikiba
Wasiwasi-Banana Zorro
Siwema-Jaydee
Tatizo Umaskini-Vumi
Zuwena-Mr Paul
Neema -Bushoke
Neema-Washikaji
Ratiba- Snaa lee
Mtoto wa kiume-Geeze Mabovu
Niamini-Prof Jay
Fikiria-Mez B
Jacky-Dully Sykes
Yaan list ni ndefu sana
π π π πWasiwasi-Banana Zorro
Hii ni ile ya Lionel richie amastuck on youβ¦.