Nyimbo ambazo sichokagi kuzisikiliza

Nyimbo ambazo sichokagi kuzisikiliza

..Hapa kuna Wataalamu natumaini nitapata Msaada. Kuna Wimbo mmoja wa Bongo Fleva nimeusikia kama mara mbili tatu tu lakini nikaupenda sana. Tatizo ni kuwa sifahamu jina la wimbo wala la Muimbaji wake (sauti nilisikia kama Diamond Unless alikuwa amekaribishwa collabo tu!)ila Chorus ina maneno haya:

...'Sijazoea masebene mimi, ni bora uniache/tuachane'
' kukupenda kwangu xxxxxxxxxx, kumbe mwenzangu mawengu...'

Kitu kama hicho. Nitashukuru sana kwa atakayeweza kunipa jina la Wimbo na Muimbaji wake. Shukurani Zimetangulizwa.
Huu wimbo ninao asee nipm nikutumie ..aloimba sio diamond wimbo unaitwa masebene

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kiukweli sichoki kusikiliza ngoma za wenge bcbg alubam Kama pentagone ndomboro th titanic nk
 
..Hapa kuna Wataalamu natumaini nitapata Msaada. Kuna Wimbo mmoja wa Bongo Fleva nimeusikia kama mara mbili tatu tu lakini nikaupenda sana. Tatizo ni kuwa sifahamu jina la wimbo wala la Muimbaji wake (sauti nilisikia kama Diamond Unless alikuwa amekaribishwa collabo tu!)ila Chorus ina maneno haya:

...'Sijazoea masebene mimi, ni bora uniache/tuachane'
' kukupenda kwangu xxxxxxxxxx, kumbe mwenzangu mawengu...'

Kitu kama hicho. Nitashukuru sana kwa atakayeweza kunipa jina la Wimbo na Muimbaji wake. Shukurani Zimetangulizwa.
Y tone ngoma masebene

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Raisin'to the top by Lost boys,I got 5 on it by Luniz,Go church by Ice cube ft Snoop Dogg and Lil John,Gangstas'paradise & i see you when i'll be there by Coolio,California & do for love,Still dre by Dr dre ft Snoop,Megamix of Naughty by natural na nyingine nyingi.
-Luniz -A Peace of Me
-Nonchalant -5 oclock in the morning.
-Dr Dre - What's the difference
-Rkelly - Who's that
-KRS1 - Hip Hop Lives
-Aaliyah -More Than a Woman


-
 
1. Party Ya Kuaga Umasikini - Orch: Vijana Jazz
2. Mtoto Akililia Wembe - Orch: D.D.C. Mlimani Park
3. Hujafa Hujasifiwa - Orch: Twanga Chipopolo
 
Got 5 on it..aah wale waseng.e walichana vibaya mule

All in all,playlist yako nimeikubali mwanangu mziki unaujua
 
Back
Top Bottom