Nyimbo bora ya Diamond

Nyimbo bora ya Diamond

The earliest were natural and attractive...the latest are full of blablabla..ashakuwa dancer Sasa. Check out Mbagala, ukimwona, kamwambie, Moyo wangu..n.k then compare with Kidogodogo, Nana, kitorondo... I want back my Natural Diamond who was more Lyrical. Not rhythmical......hii si reggae...
 
Inashangaza uzi wa julai ila bado mods hawajaona makosa ya kichwa cha uzi huu.


Wingi ...umoja
Nyimbo ..ya
Ilipaswa kuwa
"Wimbo bora wa diamond....."
 
Mungu aliumba dunia, mapenzi tangu na tangu
Yashanipiga sasa sina budi nielewe
Siwezi kung'ang'ania huenda sio fungu langu
Japo ni shida ila nitabaki mwenyewe

Ooh Ila mpe shukrani, kwa kuniumiza suraya
Mwambie me bado mahututi nauguza kidonda changu
Na asisikie asilani mwambie mapenzi mabaya
Hata angali hai Kairuki asingetibu gonjwa langu. ....
Heee shikamoo mjukuu kumbe na wewe su haba atii
 
Mawazo, Nitarejea na Je Utanipenda.

Diamond anajua kuimba kwa hisia jamani kha! Hapati tuzo kwa kubahatisha aiseee....
 
Back
Top Bottom