Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nyie jamani 😊😊😊 aah ntaanguka ujueWeye je hunipendi..?
Hutaki kuniruhusu kulishika pindo la vazi lako..?
Vipi je,hutaki pia nikuimbie mapambio ya kuusifu mwili wako uliojaa vizuri na kubonyea pale palipostahili.. niruhusu niitandaze mikono yangu kwenye mwili wako ili uione kazi ya ufundi stadi iliyotukuka..😉
Urembo wako usiopimika unaufanya urijali wangu kuweweseka mbele yako!,nimekupa Moyo wangu,chagua langu tukaishi mbali na mwewe!
Nitakilinda hata kimvuli chako kisichezewe!.. nauthamini hata ukucha wako unaozalishwa na kiumbe nimpendae!
Nipe nafasi ya upunje nikuonyeshe ya nafsi yalivyomatamu usiwakumbuke hata kina andunje..
Hujambo mke mwenza mama.!mke mweee😂😂😂😂😂😂
sijambo mke mwee nmekumiss🥰Hujambo mke mwenza mama.!
aaaawwww' ☺sijambo mke mwee nmekumiss🥰
mume wetu ajambo, maaana kitamboaaaawwww' ☺
How I like to feel this feeling, Nimekumiss pia mke mwenza jamani.!
😂 😂 😂mume wetu ajambo, maaana kitambo
Umefanya nikumbuke...Kila nikitafakari, zinanijia singeli na mnanda. Qmamake, mapenzi haya.
😂😂😂😂😂ati nini😂 😂 😂
Can you imagine nimeshasahau, hivi kifaa yetu ilikuwa nani tena?
😂😂😂😂nasema moto motoKila nikitafakari, zinanijia singeli na mnanda. Qmamake, mapenzi haya.
Acha tu mkuu.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]nasema moto moto