Nyimbo gani inaendana na hali yako ya mahusiano?

nyie jamani 😊😊😊 aah ntaanguka ujue
 
You and I

We don't wanna be like them
We can make it 'til the end
Nothing can come between

You and I

Not even the Gods above
Can separate the two of us
No, nothing can come between

You and I

ooooh yuuu end aiii..... πŸ€—
 
Sorry,Blame It on Me-Akon..


You Can Put The Blame On Me/

Said You Can Put The Blame On Me/
 
Hahaha...
Kila nikitafakari, zinanijia singeli na mnanda. Qmamake, mapenzi haya.
Umefanya nikumbuke...

Wimbo wa Dogo Skide-Demu Wa Aslay..-Aisee Humu demu kapigwa maneno machafu mno..

Dogo aliyakanyanga kwa yule demu wa aslay:-
demu nguo yandani imekakamaa kwa kutoifua/

Meno yake ka'Wachezaji wa yanga/

Kitandani gogo,Akisaula chumbani hakukaliki./

Magonjwa ya ngono anayoyote/

Dogo skidee anamtusi sana ya rejareja hahaaha...nzurii zaiidi anakwenda vyema na mdundo na maneno yake.


Au...

Kuna Wimbo wa Dogo Mwala-Tuma na Yakutolea..

Asubuhi demu anataka Chai,Jioni Alale na Chips Mayai.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…