nyie jamani πππ aah ntaanguka ujueWeye je hunipendi..?
Hutaki kuniruhusu kulishika pindo la vazi lako..?
Vipi je,hutaki pia nikuimbie mapambio ya kuusifu mwili wako uliojaa vizuri na kubonyea pale palipostahili.. niruhusu niitandaze mikono yangu kwenye mwili wako ili uione kazi ya ufundi stadi iliyotukuka..π
Urembo wako usiopimika unaufanya urijali wangu kuweweseka mbele yako!,nimekupa Moyo wangu,chagua langu tukaishi mbali na mwewe!
Nitakilinda hata kimvuli chako kisichezewe!.. nauthamini hata ukucha wako unaozalishwa na kiumbe nimpendae!
Nipe nafasi ya upunje nikuonyeshe ya nafsi yalivyomatamu usiwakumbuke hata kina andunje..
Hujambo mke mwenza mama.!mke mweeeππππππ
sijambo mke mwee nmekumissπ₯°Hujambo mke mwenza mama.!
aaaawwww' βΊsijambo mke mwee nmekumissπ₯°
mume wetu ajambo, maaana kitamboaaaawwww' βΊ
How I like to feel this feeling, Nimekumiss pia mke mwenza jamani.!
π π πmume wetu ajambo, maaana kitambo
Umefanya nikumbuke...Kila nikitafakari, zinanijia singeli na mnanda. Qmamake, mapenzi haya.
πππππati niniπ π π
Can you imagine nimeshasahau, hivi kifaa yetu ilikuwa nani tena?
ππππnasema moto motoKila nikitafakari, zinanijia singeli na mnanda. Qmamake, mapenzi haya.
Acha tu mkuu.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]nasema moto moto