music mimi
JF-Expert Member
- Jun 16, 2013
- 485
- 876
hata za bongoZa Mambele
Ni kwel mkuu unaweza ikuta nyimbo kali balaa ila haina coverage kwenye media, afu nyimbo ya kawaoda imefhhata za bongo
Ni kwel mkuu unaweza ikuta nyimbo kali balaa ila haina coverage kwenye media, afu nyimbo ya kawaoda imefh
Unika hiyo kali.
Mfano bongo
1. Wimbo wa Diamond -ukilala lala salama, nauelewa kuliko nyimbonzake zote ila hata mwenyewe hakuutengenzea video
2. Wimbo wa lucky dube, unaongelea alimuona msichana njina na baadae wakapotezana, nimesahau jina lake, ila hauvumi kama mama told me na zinginezo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Dizasta ni story teller mzuri, nitautafuta niusikilizeKuna nyimbo moja ya Dizasta vina "wimbo usio bora" nmeuelewa sana
Nimeusikiliza ni wimbo mzuriView attachment 1735745
Huyu kijana namkubali Sana Huu wimbo ndio nausikiliza Mara nyingi kuliko wimbo wowote anaitwa Future jnr wimbo visawani enjoy it.
Dizasta ni kichwa cha kipekee mno...Kuna nyimbo moja ya Dizasta vina "wimbo usio bora" nmeuelewa sana
So averageDizasta ni kichwa cha kipekee mno...
Ni most underrated artist hapa bongo
kweliHarmonize - dm chick
Kabisa mkuuGrace matata - free soul