BilioneaPATIGOO
JF-Expert Member
- Jun 23, 2012
- 12,320
- 11,327
Unajua vile inakua safi eeh...Weusi and their king Joh Makini team up with Mzee wa Masauti Bella
Nyimbo nzuri sana....
Christian Bella katika maneno ya wimbo huo anasema "utatunza penzi langu nataman na mimi nijue, au utaniacha na mimi niumie...kilicho moyoni mwako natamani nijue...
"Nilipotoka nishaumizwa sana, na nimeshakutana pia na vingi..na ndo mana nina wasiwasi wa kupenda mimii,, yan siamini kabisa kama ntampata kweli atakaetunza penzi langu mimi,sijui, asiishi maisha ya kuiga, sio ya kwenye insta na facebook, mule kila mutu muzuri anaishi maisha mazuri kwanza kakulia maisha ya kishua...""
Nyimbo nzuri sana....
Christian Bella katika maneno ya wimbo huo anasema "utatunza penzi langu nataman na mimi nijue, au utaniacha na mimi niumie...kilicho moyoni mwako natamani nijue...
"Nilipotoka nishaumizwa sana, na nimeshakutana pia na vingi..na ndo mana nina wasiwasi wa kupenda mimii,, yan siamini kabisa kama ntampata kweli atakaetunza penzi langu mimi,sijui, asiishi maisha ya kuiga, sio ya kwenye insta na facebook, mule kila mutu muzuri anaishi maisha mazuri kwanza kakulia maisha ya kishua...""