Baba na mama wee nipelekeni shulee
Na mimi nikajueee
Kusoma na kuandikaa.
Wenzangu wanajuaaa
Kusoma na kuandika mimi nahangaika kama mpita njiaa. "Wimbo huu niliufaham nikiwa darasa la tatu mwaka 2000, hadi leo na uzee wangu wote huu siwezi kuusahau. Enzi zile tuliimba kwa kujifurahisha tu ila sasa nimegundua una maana kubwa sana katika kizazi cha watu wanaofuga ujinga.