kidaganda
JF-Expert Member
- Aug 26, 2013
- 2,995
- 2,572
Tujikumbushe nyimbo tulizowahi imba tukiwa shule za msingi darasani au kipindi cha mchaka mchaka....
sina nguvu tena eenhe
ya kuua simba eenhe
simba ni mkali eenhee
aliua kuku eheee
akaua fisi eenhee
[emoji23][emoji23]haya wahi wahiii
eenheeeeeee
sina nguvu tena eenhe
ya kuua simba eenhe
simba ni mkali eenhee
aliua kuku eheee
akaua fisi eenhee
[emoji23][emoji23]haya wahi wahiii
eenheeeeeee