Nyimbo ya Hamisa inafanya vizuri kuliko ya ruby , Ali kiba, etc - kufanikiwa ni akili sio nguvu

Nyimbo ya Hamisa inafanya vizuri kuliko ya ruby , Ali kiba, etc - kufanikiwa ni akili sio nguvu

Kwahiyo unataka kila msanii aanzishe ugomvi na Platnumz...

Muanze na kumlipa.
 
Alikiba kwa sasa hana lolote anategemea bifu na diamond jipya hanaa
 
Saivi mbwa wetu nyumbani nae kaanza kuimba!... atatoka tuu.. maana kama Yule mbuzi hamisa katoka mbwa wetu atashindwaje???
 
Umekosea sana kufananisha thamani ya Kiba na huyo mdangaji.
 
Back
Top Bottom